Tagalile kajiengua RAI?

nat867

Member
Feb 14, 2008
97
5
Ndugu wana jamvi JF, Nimekuwa nikifuatilia sakata la Habari coorperation kutaka kutumia waandishi/magazeti yake kusafisha MAFISADI na Atilio tagalile akawa hayupo tayari kwa hiyo. Naona gazeti la leo Mhariri wa Rai si tena bali A TILIO TAGALILE bali jamaa anayelalamikiwa sana DEODATUS BALILE . Mwenye taarifa zaidi atumegee.
 
Back
Top Bottom