Ndugu wana jamvi JF, Nimekuwa nikifuatilia sakata la Habari coorperation kutaka kutumia waandishi/magazeti yake kusafisha MAFISADI na Atilio tagalile akawa hayupo tayari kwa hiyo. Naona gazeti la leo Mhariri wa Rai si tena bali A TILIO TAGALILE bali jamaa anayelalamikiwa sana DEODATUS BALILE . Mwenye taarifa zaidi atumegee.