Wakati rais jakaya mrisho kikwete anahojiwa na waandishi wa habari wakati wa kampeni 'live-itv' alisema:
"kama kila chama kina mawakala wake vipi kura zinaibiwa?"
ukiona hivo ujue hao mawakala ni bomu(hawafai) wana njaa hawajawezeshwa ipasavyo.
Chadema kubalini kushindwa nchi iwe na amani
"kama kila chama kina mawakala wake vipi kura zinaibiwa?"
ukiona hivo ujue hao mawakala ni bomu(hawafai) wana njaa hawajawezeshwa ipasavyo.
Chadema kubalini kushindwa nchi iwe na amani