AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,536
- 4,513
Salaam,
Kuna kampeni inaendeshwa kimya kimya na wahuni kushawishi watu wasioe... Yaani watu waikatae NATURE... Maumbile yao ya asili...
Sasa wewe usipooa... Maji maji yako unayajaza unamwekea nani?
Unakataa kuoa kwa sababu ya chuki dhidi ya wanawake... Sasa ukiwachukia wanawake... Alafu uwapende wanaume eeh... Si ndio mnapoelekea kwenye kupendana wenyewe kwa wenyewe... USHOGA...
MY FRIEND OA... OA MWANAMKE HARAKA...
OA WANAWAKE HATA WAWILI WATATU MPAKA WANNE... HAYO NDIO MAUMBILE YETU TULIYOUMBIWA...
Kiasili Kimaumbile MWANAUME RIJALI ALIYE SAWA SAWA HAWEZI KUTOSHELEZWA NA MKE MMOJA...
MWANAMKE MMOJA KIMAUMBILE HAWEZI KUHIMILI MIKIKIMIKIKI YA MWANAUME RIJALI...
Ukitaka kuamini hilo... Angalia kwanini imekatazwa kumuingilia mwanamke akiwa hedhi na akitoka kujifungua mpaka damu iishe?
Kiasili Mwanamke maumbile yake yanachakaa haraka na kupoteza ladha ikiwa akiingiliwa kila siku kila mara iwe na mwanaume mmoja au na wanaume tofauti(ukitaka kuamini kawaangalie makahaba).
Na mwanaume rijali yeye anahitaji takribani kila siku apate huduma... Jambo ambalo mwanamke mmoja pekee yake haliwezi... Ndio maana uislaam kwakuwa ni dini ya kimaumbile wakaamrishwa MWANAUME MMOJA wanawake wawili watatu au wanne. Na hili jambo limethibitishwa kwa utafiti makini na LIMEJARIBIWA(MUJARRABU) Hapo nimeeleza kwa kifupi ukitaka zaidi njoo darsani kwangu.
LAKINI UKIWA HUTAKI KUOA KABISA KISA HUTAKI WANAWAKE SIJUI BLAA BLAA NYINGI... HUNA TOFAUTI NA MASHOGA... NA UNAPOELEKEA UTAKUWA SHOGA.
Kuna kampeni inaendeshwa kimya kimya na wahuni kushawishi watu wasioe... Yaani watu waikatae NATURE... Maumbile yao ya asili...
Sasa wewe usipooa... Maji maji yako unayajaza unamwekea nani?
Unakataa kuoa kwa sababu ya chuki dhidi ya wanawake... Sasa ukiwachukia wanawake... Alafu uwapende wanaume eeh... Si ndio mnapoelekea kwenye kupendana wenyewe kwa wenyewe... USHOGA...
MY FRIEND OA... OA MWANAMKE HARAKA...
OA WANAWAKE HATA WAWILI WATATU MPAKA WANNE... HAYO NDIO MAUMBILE YETU TULIYOUMBIWA...
Kiasili Kimaumbile MWANAUME RIJALI ALIYE SAWA SAWA HAWEZI KUTOSHELEZWA NA MKE MMOJA...
MWANAMKE MMOJA KIMAUMBILE HAWEZI KUHIMILI MIKIKIMIKIKI YA MWANAUME RIJALI...
Ukitaka kuamini hilo... Angalia kwanini imekatazwa kumuingilia mwanamke akiwa hedhi na akitoka kujifungua mpaka damu iishe?
Kiasili Mwanamke maumbile yake yanachakaa haraka na kupoteza ladha ikiwa akiingiliwa kila siku kila mara iwe na mwanaume mmoja au na wanaume tofauti(ukitaka kuamini kawaangalie makahaba).
Na mwanaume rijali yeye anahitaji takribani kila siku apate huduma... Jambo ambalo mwanamke mmoja pekee yake haliwezi... Ndio maana uislaam kwakuwa ni dini ya kimaumbile wakaamrishwa MWANAUME MMOJA wanawake wawili watatu au wanne. Na hili jambo limethibitishwa kwa utafiti makini na LIMEJARIBIWA(MUJARRABU) Hapo nimeeleza kwa kifupi ukitaka zaidi njoo darsani kwangu.
LAKINI UKIWA HUTAKI KUOA KABISA KISA HUTAKI WANAWAKE SIJUI BLAA BLAA NYINGI... HUNA TOFAUTI NA MASHOGA... NA UNAPOELEKEA UTAKUWA SHOGA.