samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,954
- Thread starter
- #21
Hii picha ipo kwaajili ya kufundisha watu, sio kumdhalilisha na ndio maana huoni picha ya huyo aliyeathirika. Unawezaje kusema hazina heshima kwa kuliona jeraha la hivo ............ hapo kama mtu zinachaji basi unayafikiria maumivu ya huyo mtu jinsi anavyojisikia, na ndio maana wachangiaji wote wanaongelea maumivu ya huyo mtu na sio unachokiona wewe.Nashangaa mods hawajaiondoa picha hii...hawa mods ni JIPU...picha hizihazipaswi kuwekwa kwenye mtandao kama JF wenye heshima zake...MODS ondoeni haraka picha hii na mhusika awajibishwe na kama hamtaki mimi binafsi nitawasilisha suala hili kwa TCRA