Ni wazi kabisa Mh Pinda na mama Makinda hawana busara! Niwazi Raisi hakubaliani na posho, ila kwa kuwa ni people's pleaser amesukumia wasio na busara kuamua
Ni wazi kabisa Mh Pinda na mama Makinda hawana busara! Niwazi Raisi hakubaliani na posho, ila kwa kuwa ni people's pleaser amesukumia wasio na busara kuamua
Heri mimi sijasema
Najiuliza sipati jibu juu ya haya:
-Bunge huwa linataka Rais afanye nini juu hizi posho zao?
-Rais ni sehemu ya mchakato wa kupandisha posho hizi?
-Ni kweli Bunge limeanza kulipa posho hizi?
Ni wazi kabisa Mh Pinda na mama Makinda hawana busara! Niwazi Raisi hakubaliani na posho, ila kwa kuwa ni people's pleaser amesukumia wasio na busara kuamua
Kwa hili, raisi wetu amethibitisha kuwa kazi imemshinda. Badala ya kutoa maamuzi anatoa porojo. Ukiwa kama kiongozi kama huwezi kufanya maamuzi katika jambo lolote wewe hufai kuwa kiongozi.
Hapa raisi wetu amejidhihirisha kuwa ni pumba kabisa. Inapofikia wakati hata kupingana hadharani kati ya raisi na waziri mkuu mjue nchi iko hatarini. Ee Mungu tuokoe na janga hili la viongozi
Nadhani hata Rais nae hana Busara