Tafsiri ya usemi "Wanaume wa Dar"

Watu wanapotoshana, fanya enquiry fupi sana, hili neno lilizaliwa kinywani mwa watu ambao ulimwengu wao ni wa nyuma sana, au hawana hela (wakijiita wagumu), watu wasiotaka kubadili muelekeo wa maisha yao, watu wanaodhani maisha ya kimaskini ndio stahiki Ya maisha ya mwanamume
Came from the horses mouth itself kabisa..
Mwanaume wa dar akiutetea uanaume wa dar...safi kabisa
 
WA MIKOANI NI WAZEEE WA NGUNA N halafu mnasumbua waGUMU, HAO WA DRESSING TEBO MIKOANI NI WASORIZIKI, USIJARIBU KUTURINGANISHA NA HAO MIDEBWEDO WA DAR, WASUGULIWA MIGUU NA KUCHA
Wengi wenu mnatokaga mikoani halafu mnasumbua wenyeji
 
UFAFANUZI KUHUSU NENO WANAUME WA DAR

Wanaume wa Dar ni tabia haijalishi unaishi wap, mfano we mwanaume :-

1. Unaishi Tabora ndani afu unamtext mwanaume mwenzako una mwita My, dear etc., wewe pia ni mwanaume wa Dar.
2. Unaishi Mwanza ila wimbo wako bora ni "ninogeshe" ya nandy, we nae ni mwanaume wa Dar‍♂‍♂
3. Uko Arusha ila unakula soda na biscuits unashiba na kulala kabisa usiku, wewe ni mwanaume wa Dar.
4. Unaishi Kigoma ila TV show unazoangalia ni Shilawadu, Chereko na Ng'aringa'ri, wewe ni mwanaume wa Dar.
5. Unakaa mbeya ila unaagiza chips yai afu unakazia iwe na tomato nyingii, we ni mwanaume wa Dar.
6. Uko Iringa ila unachatt kwa kuandika x badala ya s, lmao, lol wewe ni wa Jiji la Makonda
7. Unaishi Singida ila umemfollow Bob Risky, James Delicious na Kaoge, wewe ni mwanaume wa Dar, tena Uwanja wa Fisi.
8. Unaishi Musoma ila una dressing table ndani, wewe ni mwanaume wa Dar.
9. Unaishi Simiyu ila uktoka kuoga unavua kila kitu ndiyo upake mafuta, wewe ni mwanaume wa Dar.
10. Unaishi Mtwara ila unaweka status picha ishirini, wewe ni mwanaume wa Dar.

Amani iwe nanyi wanaume wa Dar mlioko mikoani.

COPIED
Acha kupotosha mwanaume wa dar wanaishi Dar??
 
msemo wako wew niwa dar kinondoni ao sinza
Watu wanapotoshana, fanya enquiry fupi sana, hili neno lilizaliwa kinywani mwa watu ambao ulimwengu wao ni wa nyuma sana, au hawana hela (wakijiita wagumu), watu wasiotaka kubadili muelekeo wa maisha yao, watu wanaodhani maisha ya kimaskini ndio stahiki Ya maisha ya mwanamume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiwa maliwato unatumia maji badala ya kuingia na fuko lako la mchanga, hata kama uko Kanda Maalumu wewe ni wa Dar tu!
 
uko singida AF unafatilia season ya kihindi na wewe ni mwanaume wa dar
 
Tuchukue tahadhari ya Covid-19
IMG-20200416-WA0025.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom