A.J
Senior Member
- Jun 9, 2015
- 139
- 147
UFAFANUZI KUHUSU NENO WANAUME WA DAR
Wanaume wa Dar ni tabia haijalishi unaishi wap, mfano we mwanaume :-
1. Unaishi Tabora ndani afu unamtext mwanaume mwenzako una mwita My, dear etc., wewe pia ni mwanaume wa Dar.
2. Unaishi Mwanza ila wimbo wako bora ni "ninogeshe" ya nandy, we nae ni mwanaume wa Dar♂♂
3. Uko Arusha ila unakula soda na biscuits unashiba na kulala kabisa usiku, wewe ni mwanaume wa Dar.
4. Unaishi Kigoma ila TV show unazoangalia ni Shilawadu, Chereko na Ng'aringa'ri, wewe ni mwanaume wa Dar.
5. Unakaa mbeya ila unaagiza chips yai afu unakazia iwe na tomato nyingii, we ni mwanaume wa Dar.
6. Uko Iringa ila unachatt kwa kuandika x badala ya s, lmao, lol wewe ni wa Jiji la Makonda
7. Unaishi Singida ila umemfollow Bob Risky, James Delicious na Kaoge, wewe ni mwanaume wa Dar, tena Uwanja wa Fisi.
8. Unaishi Musoma ila una dressing table ndani, wewe ni mwanaume wa Dar.
9. Unaishi Simiyu ila uktoka kuoga unavua kila kitu ndiyo upake mafuta, wewe ni mwanaume wa Dar.
10. Unaishi Mtwara ila unaweka status picha ishirini, wewe ni mwanaume wa Dar.
Amani iwe nanyi wanaume wa Dar mlioko mikoani.
COPIED
Wanaume wa Dar ni tabia haijalishi unaishi wap, mfano we mwanaume :-
1. Unaishi Tabora ndani afu unamtext mwanaume mwenzako una mwita My, dear etc., wewe pia ni mwanaume wa Dar.
2. Unaishi Mwanza ila wimbo wako bora ni "ninogeshe" ya nandy, we nae ni mwanaume wa Dar♂♂
3. Uko Arusha ila unakula soda na biscuits unashiba na kulala kabisa usiku, wewe ni mwanaume wa Dar.
4. Unaishi Kigoma ila TV show unazoangalia ni Shilawadu, Chereko na Ng'aringa'ri, wewe ni mwanaume wa Dar.
5. Unakaa mbeya ila unaagiza chips yai afu unakazia iwe na tomato nyingii, we ni mwanaume wa Dar.
6. Uko Iringa ila unachatt kwa kuandika x badala ya s, lmao, lol wewe ni wa Jiji la Makonda
7. Unaishi Singida ila umemfollow Bob Risky, James Delicious na Kaoge, wewe ni mwanaume wa Dar, tena Uwanja wa Fisi.
8. Unaishi Musoma ila una dressing table ndani, wewe ni mwanaume wa Dar.
9. Unaishi Simiyu ila uktoka kuoga unavua kila kitu ndiyo upake mafuta, wewe ni mwanaume wa Dar.
10. Unaishi Mtwara ila unaweka status picha ishirini, wewe ni mwanaume wa Dar.
Amani iwe nanyi wanaume wa Dar mlioko mikoani.
COPIED