KASULI
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 599
- 669
Watu ni wajinga sana, na mwingine humu anasema aandike kitabu juu ya hili Yan nimecheka kwa dharau.Zinaongea kitu gani sasa? Kwanini hao walionyanyua mikono miwili juu wasingekufa wao? Au kwanini hao ambao mkono mmoja uko chini mwingine juu (JK na Ben) wasingekufa hao??
Hakuna ukweli wowote kwenye unavyovisema, ila hizo vitu vinatafsiriwa tu baada ya matukio kutokea. Ndio maana mnaishia kutafsiri tu mara wa kati ndio wamekufa, mara wa kulia na kushoto, mara wamekufa kwa kufatana mtililiko kwa jinsi walivyojipanga mstari n.k
😂😂😂😂😂 Kwamba jamaa aandike kitabu wanunue..Watu ni wajinga sana, na mwingine humu anasema aandike kitabu juu ya hili Yan nimecheka kwa dharau.
Watu hawana wigo mpana wa kufikiri ujinga umetawala
Haaaaa Haaaaa 😂, humu wajinga wengi saana😂😂😂😂😂 Kwamba jamaa aandike kitabu wanunue..
Huyu jamaa anawapiga sana fix humu. Watanzania tuna safari ndefu sana, hatutaki kushughulisha bongo zetu kabisa
Kifo ni kitu cha ajabu sanaHii nayo inaleta msisimko View attachment 1735520
Mambo ya kijinga unge yaacha kuendelea kukaa nayo means una ujinga piaWatu ni wajinga sana, na mwingine humu anasema aandike kitabu juu ya hili Yan nimecheka kwa dharau.
Watu hawana wigo mpana wa kufikiri ujinga umetawala
Kaka wewe ni mubayaa, huu uzi umwkupa heshima sanaaHata wenyewe hawakuwa wanajua nini kitakuja kutokea baadae (hata kama labda kulikuwa kuna kitu wanafanya kwa siri) lakini yale ya kiroho yale ya sirini yalikuja kutokea na kutimia.
Mamvii bado bado hata picha imemkataa
Alianza Beni akafuata Maalim next nani?Mamvii bado bado hata picha imemkataa
Hujaelewa, hoja ya Mshana JrHabari kaka Mshana,
Hizo ni coincidence tu hazina uhusiano na nguvu wala miujiza yoyote kila jambo ni vile unavyolitazama, mimi sikubaliani na wewe.
Kama picha ilipigwa zamani kivipi leo niione sawa wakati nyakati zinabadilika? ni lazima nione mabadiliko mengi tu kwa kua muda nao umepita ipo hivyo tu.
Nikipiga picha leo na mbuzi wangu nyumbani baada ya miaka mitano yule mbuzi hatakuwepo labda amechinjwa au vyovyote na mimi pia nitakua pengine kama asili ya maisha ilivyo hakuna nguvu wala nini inayotumika hapa.
Lipumba na Slaa ni ndugu nini.Picha zinaongea, picha zinaishi picha zinatoa ujumbe maalum usioonekana kwa macho ya kawaida mpaka wakati ufike
Ukipata muda chukua album yako ya picha pitia picha za zamani ulizopiga na marafiki ndugu jamaa na hata watu usiowafahamu
- angalia mpangilio wa jinsi watu walivyosimama au kukaa nk
- angalia mpangilio wa rangi au mavazi
- angalia body language
Kwa mshangao wa ajabu utakuta kwenye picha fulani watu fulani waliosimama pamoja siku huyo au kuchuchumaa au kuvaa nguo za aina moja nk
- wote wamekufa
- wote ni matajiri
- wote wameoa/wameolewa nyumba moja
- wote tabia zao zinafanya nk
Kwa mshangao mkubwa angalia body language utajikuta unaona kabisa hao
- walikuja kuoana
- walikuja kuwa maadui wakubwa
- walikuja kuwa marafiki wa damu nk
Tunapojipanga tupige piga na kubadili badili mikao na nafasi si kwa akili zetu bali kuna nguvu nje ya ufahamu wetu nguvu ya kiroho ndio inafanya kazi
Ni nguvu hiyo inayoamua:
Usimame wapi na kwa nini
Ukae wapi na kwa nini
Ufuatane na nani na kwa nini
Umtazame nani na kwa nini
Ni nguvu ya uvutano kwenye ulimwengu wa roho inayotengeneza matukio yote haya na huja kudhihirika baada ya kipindi fulani kupita...haya yanatokea si kwa utashi wetu wala uamuzi wetu wala nguvu zetu
Sijapata picha nyingine lakini naomba kuweka hii
- angalia mfanano wa rangi za mavazi
- body language
- nafasi kwenye kusimama
- umbali na ukaribu
Unafikiri walipanga kwa makusudi huu mkao?
Hapa nimeelewa