Nakuunga mkono. Sio kila jambo nyuma yake kuna nguvu za kiroho bana...ni uhalisia na nature inafanya kazi yake.Habari kaka Mshana,
Hizo ni coincidence tu hazina uhusiano na nguvu wala miujiza yoyote kila jambo ni vile unavyolitazama, mimi sikubaliani na wewe.
Kama picha ilipigwa zamani kivipi leo niione sawa wakati nyakati zinabadilika? ni lazima nione mabadiliko mengi tu kwa kua muda nao umepita ipo hivyo tu.
Nikipiga picha leo na mbuzi wangu nyumbani baada ya miaka mitano yule mbuzi hatakuwepo labda amechinjwa au vyovyote na mimi pia nitakua pengine kama asili ya maisha ilivyo hakuna nguvu wala nini inayotumika hapa.
Kuna nini nyuma yake hapa?
Kuna nini nyuma yake hapa?
mmh na wote walihama aiseeNa hapa tafsiri ikoje Mshana Jr?
View attachment 391496
hii picha mkapa nae yupo kwa kulia nadhaniThis pic was taken in 2010 but after ten years they are all gone
CC: Sauti ya Mamlaka View attachment 1596894
Najua hilo ndugu yangu...dats why sija mention jina la yoyote hapo zaid ya kushangaa tuu, najua ulozi ni mambo ya kufikirika.Hapana, hilo anaju MUNGU pekee, unaweza ukafuata hata wewe.
Kifo ni siri tusiyoifahamu
Karibu bila shakamzee mshana siku hizi naomba unatoa thread kama hizi tena
Maana kuna limit mtu unawaza mpaka unaona mwisho kumbe mwingine ndio mwanzo anapoanzia
Kuna kitu kimoja ningeomba kuuliza kwako maana hapa ni jamii na tunasaidiana japo huenda ikawa haijabeba uzito ila kwenye sehemu fulani ina maana kubwa
Asante mkuuUpdate app
Mkuu itachukua muda sana watu kukuelewa, just know you have my utmost respect.Hatujui yajayo japo kwasasa imethibitika hao wawili walio upande mmoja na rangi za nguo zinazokaribia kufanana 'inasemekana' ni wasaliti.
Mshana bana...... kwa nini picha isiende kwa kunyooka kama ile ya kwanza hapo ya Marehemu Mkapa, kisha Marehemu Maalim....?