Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

1613876909990.png
 
Habari kaka Mshana,

Hizo ni coincidence tu hazina uhusiano na nguvu wala miujiza yoyote kila jambo ni vile unavyolitazama, mimi sikubaliani na wewe.

Kama picha ilipigwa zamani kivipi leo niione sawa wakati nyakati zinabadilika? ni lazima nione mabadiliko mengi tu kwa kua muda nao umepita ipo hivyo tu.

Nikipiga picha leo na mbuzi wangu nyumbani baada ya miaka mitano yule mbuzi hatakuwepo labda amechinjwa au vyovyote na mimi pia nitakua pengine kama asili ya maisha ilivyo hakuna nguvu wala nini inayotumika hapa.
Nakuunga mkono. Sio kila jambo nyuma yake kuna nguvu za kiroho bana...ni uhalisia na nature inafanya kazi yake.
 
mzee mshana siku hizi naomba unatoa thread kama hizi tena

Maana kuna limit mtu unawaza mpaka unaona mwisho kumbe mwingine ndio mwanzo anapoanzia

Kuna kitu kimoja ningeomba kuuliza kwako maana hapa ni jamii na tunasaidiana japo huenda ikawa haijabeba uzito ila kwenye sehemu fulani ina maana kubwa
 
Hapana, hilo anaju MUNGU pekee, unaweza ukafuata hata wewe.

Kifo ni siri tusiyoifahamu
Najua hilo ndugu yangu...dats why sija mention jina la yoyote hapo zaid ya kushangaa tuu, najua ulozi ni mambo ya kufikirika.
 
mzee mshana siku hizi naomba unatoa thread kama hizi tena

Maana kuna limit mtu unawaza mpaka unaona mwisho kumbe mwingine ndio mwanzo anapoanzia

Kuna kitu kimoja ningeomba kuuliza kwako maana hapa ni jamii na tunasaidiana japo huenda ikawa haijabeba uzito ila kwenye sehemu fulani ina maana kubwa
Karibu bila shaka
 
Back
Top Bottom