Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Neno JWTZ kama hujawahi liona, ukiliona kwa mara ya kwanza hakika utajisifu na kujitukuza utanzania wako!
Laki tafsiri yake kivitendo imekuwa ni ya kutisha kama si kuhatarisha amani ya nchi hii!
Kikatiba jeshi hili ni mali ya watz na ndio wenye mamlaka ya mwisho kabisa!
Lakini wale tuliowapa dhamana ya kutuongoza wametuzuia katakata tusihoji wala kuchungulia kinachofanywa na jeshi hili!
Meremeta -masuala ya usalama
Shimbo- juhudi za kulizima zinazaa matunda
Ndugu wana jf mwenye ufafanuzi juu ya hili atujuze!!!
Laki tafsiri yake kivitendo imekuwa ni ya kutisha kama si kuhatarisha amani ya nchi hii!
Kikatiba jeshi hili ni mali ya watz na ndio wenye mamlaka ya mwisho kabisa!
Lakini wale tuliowapa dhamana ya kutuongoza wametuzuia katakata tusihoji wala kuchungulia kinachofanywa na jeshi hili!
Meremeta -masuala ya usalama
Shimbo- juhudi za kulizima zinazaa matunda
Ndugu wana jf mwenye ufafanuzi juu ya hili atujuze!!!