Centrehalf
JF-Expert Member
- Jun 9, 2013
- 509
- 145
Salaam, naomba kupewa tafsiri halisi ya ibara ya 100 ya katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania. Katika ibara hiyo kuna kipengele kinachoelezea kazi moja wapo ya bunge ni kushauri na kuisimamia serikali. Ndio maana nimeona niulize kwa wataalam wa sheria kama kazi ya bunge nipamoja na kuisimamia serikali ni kwanini bunge linashikwa na kigugmizi inapofika suala la kuiwajibisha serikali? Je ni kweli bunge haliwezi kuiwajibisha serikali? Au ni gia za spika wa sasa kujaribu kulinda serikali inapo boronga. Naomba tuchangie kitaalam zaidi kuliko kishabiki ili tujifunze.
Nawasilisha.
Nawasilisha.