Hawa ma cartoonist ni wachochezi wasio itakia mema nchi yetu. Nchi yetu Uchumi wake unakua kwa kasi kuliko nchi nyingine yoyote ukanda wa maziwa makuu. Tumenunua ndege, tumetumbua majipu yote, tumeleta usafi day, Tumekuza Uhuru wa vyombo vya Habari na kujieleza, wananchi wanatoa maoni yao pasi na woga wala shaka, timekuza demokrasia, vyama pinzani wanafanya mikutano yao kwa Uhuru na uwazi bila kubughudhiwa, tumeleta gwaride LA kimyakimya, hospitali dawa kibao.
Katumbuliwa lini?Yaani hilo lichupa likubwa hivyo ndo msiidii?? Kweli watu mmechoka uraiani. Aliyelibeba mbona katumbuliwa?
Do kweliHawa ma cartoonist ni wachochezi wasio itakia mema nchi yetu. Nchi yetu Uchumi wake unakua kwa kasi kuliko nchi nyingine yoyote ukanda wa maziwa makuu. Tumenunua ndege, tumetumbua majipu yote, tumeleta usafi day, Tumekuza Uhuru wa vyombo vya Habari na kujieleza, wananchi wanatoa maoni yao pasi na woga wala shaka, timekuza demokrasia, vyama pinzani wanafanya mikutano yao kwa Uhuru na uwazi bila kubughudhiwa, tumeleta gwaride LA kimyakimya, hospitali dawa kibao.
CCM oyeee.
[HASHTAG]#mataputapu[/HASHTAG]
Katumbuliwa lini?
Umetokea wapi mkuu?? Ni wewe tu mgeni tz?
Haya mkuu huenda bado yupo, kama yupo basi zika itamzika tuTanzania gani mkuu ambako Ummy ametumbuliwa?
Mmmh! Zika yenyewe imemkwepa imetua kwa Dr. Malecela.... Mbona huyo mama anayejiita Ndalichangu anatoa toa matamko ya ovyo ovyo lakini Hatumbuliwi.... Wanaotumbuliwa ni wengine Daaa!! Kweli..Haya mkuu huenda bado yupo, kama yupo basi zika itamzika tu
Mmmh! Zika yenyewe imemkwepa imetua kwa Dr. Malecela.... Mbona huyo mama anayejiita Ndalichangu anatoa toa matamko ya ovyo ovyo lakini Hatumbuliwi.... Wanaotumbuliwa ni wengine Daaa!! Kweli..
Usikate tamaa Mkuu..Mkuu;
Usiombee mabaya wengine. Hata akitumbuliwa, sitegemei kupata nafasi yake kwani nadhani nafasi za kuteua tiyari kwisha maliza. Na uchaguzi nilishindwa kwenye maoni tu sikufika hata jimbo.
Usikate tamaa Mkuu..
Akili za kichwani usichanganye na zamatakoniHawa ma cartoonist ni wachochezi wasio itakia mema nchi yetu. Nchi yetu Uchumi wake unakua kwa kasi kuliko nchi nyingine yoyote ukanda wa maziwa makuu. Tumenunua ndege, tumetumbua majipu yote, tumeleta usafi day, Tumekuza Uhuru wa vyombo vya Habari na kujieleza, wananchi wanatoa maoni yao pasi na woga wala shaka, timekuza demokrasia, vyama pinzani wanafanya mikutano yao kwa Uhuru na uwazi bila kubughudhiwa, tumeleta gwaride LA kimyakimya, hospitali dawa kibao.
CCM oyeee.
[HASHTAG]#mataputapu[/HASHTAG]
Invisible ana kauli yake MOJA naipenda sanaFICHA UPUMBAVU WAKOAkili za kichwani usichanganye na zamatakoni