Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 88
Do you all remember ile gazeti la sani with vitimbwi vya komredi kipepe??
Mkuu Kelly01
Umenikumbusha mbali, mimi ni vile vichuchu vya wale wademu wa kipepe duh, vilikuwa vinanivutia kweli. Yaani wale ndo kuku wa kienyeji haswaaaaaaaaa
Do you all remember ile gazeti la sani with vitimbwi vya komredi kipepe??
Haya jidaini naye hapa
Mkuu Kelly01
Mimi ni lile never ending bifu la Zena na Betina tuu!
Mkuu Kelly01
Umenikumbusha mbali, mimi ni vile vichuchu vya wale wademu wa kipepe duh, vilikuwa vinanivutia kweli. Yaani wale ndo kuku wa kienyeji haswaaaaaaaaa
Oops I am not a man i am definetely a senorita my lord.. I know utakuwa umeghafirika siyo mbaya...just to clarify i am a she.
Lol Beef la Zena na Betina lile lilikuwa kiboko kama Donald Trump na Rose O'donnor.
Oops I am not a man i am definetely a senorita my lord.. I know utakuwa umeghafirika siyo mbaya...just to clarify i am a she.
Siyo neno Mkuu ila ile message inayohusu vichuchu.Na wewe Mkuu si lazima awe mwanaume, si ndio usawa?? Never mind sijakasirika wala nini
Siyo neno Mkuu ila ile message inayohusu vichuchu.
Na wewe Mkuu si lazima awe mwanaume, si ndio usawa?? Never mind sijakasirika wala nini