Siku ya leo wanafunzi ( wana ccm ) kutoka udsm wanaokaa mabibo hostel walifanya hafla ya kuwakaribisha first year ,shughuli hii iliambatana na ugawaji wa kadi 400 kwa wanachama wa ccm wengi wao wakiwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza kwa undergraduate na postgraduate , shughuli hii iliongozwa na viongozi kutoka ngazi ya tawi hadi ngazi ya Taifa, muda wote meza kuu walionekana viongozi wafuatao ( debora Charles ( huyu alijitambulisha kutoka uvccm-Taifa, Isaac ( huyu ni mwenyekit wa mabibo hostel) Said Nguya( huyu alijitambulisha kutoka ofisi ya Itikadi na Uenezi-Taifa, Shaban Shaban( huyu nae alijitambulisha kutoka makao makuu), Frank( huyu ni mwenyekit wa Udsm-main), Bulugu ( huyu hakusika vizuri anatoka wapi , japo), Mgeni rasmi alikuwa bwana Saidi aliyemuwakilisha Katibu mwenezi .
UGOMVI ULIVYOANZA
Baada ya shughuli zote ikiwemo risala kusomwa , mshereheshaji alijiandaa kumkaribisha Mgeni rasmi ili ajibu , ghafula aliingia bwana Daniel Zenda ( ambae alijitambulisha kama katibu mkuu wa idara ya vyuo vikuu , UVCCM-Taifa) , kuingia kwa bwana huyu kulionekana kutowafurahisha meza kuu kwani ilikuwa tayari muda kwisha ( ikizingatiwa wahusika walipanga kwenda kwenye shughuli ya RC ,Mlimani city) , baada ya kuingia kwa mbwembwe bwana zenda alipewa kiti meza kuu ,karibu na mwenyekiti wa mtaa, ambapo alisalimiana nae kwa bashasha , kisha akaomba kusalimia mhadhara, baada ya kupewa mic alianza kwa kujigamba kuwa amezungumza na mwenyekt wa mtaa na sasa mabibo hostel wangepewa ofisi , akapigiwa makofi, kisha aka kaa kwa mbwembwe huku akiwataka wanafunz wa msifu kwa lugha ya kichina, baada ya tambo zake kumalizika ndipo alipo simama ndugu Said na kisha kusoma ahad number 8 ya ccm kuwa unafiki kwake mwiko , baada ya kuisoma ahadi hiyo alianza kwa kumueleza bwana zenda namna alivyokataa kuwasaidia wanafunzi wa mabibo kufanikisha sherehe ile ikiwemo kutopokea simu zao na hata kutowasikiliza pale ofisin kwake , kisha akamwambia wewe ni muongo umefika dakika mbili hapa tayali umeshaanda mpango wa kujenga ofisi wakati hata msaada wa kuandaa sherehe hii hukuweza kuutoa , ndipo wanafunz waliposhangilia huku tafrani ikiibuka kwa bwana zenda kuchukia maneno yale yaliyofanya mhadhara wote kumuona kama mtu muongo asiye na msaada kwao, wengi wakasikika wakisema kwanini mtu huyu ndio anapewa uongozi kutuongoza wasomi wa vyuo vikuu .... (itaendelea kadri informer atakavyo tuletea taarifa )
UGOMVI ULIVYOANZA
Baada ya shughuli zote ikiwemo risala kusomwa , mshereheshaji alijiandaa kumkaribisha Mgeni rasmi ili ajibu , ghafula aliingia bwana Daniel Zenda ( ambae alijitambulisha kama katibu mkuu wa idara ya vyuo vikuu , UVCCM-Taifa) , kuingia kwa bwana huyu kulionekana kutowafurahisha meza kuu kwani ilikuwa tayari muda kwisha ( ikizingatiwa wahusika walipanga kwenda kwenye shughuli ya RC ,Mlimani city) , baada ya kuingia kwa mbwembwe bwana zenda alipewa kiti meza kuu ,karibu na mwenyekiti wa mtaa, ambapo alisalimiana nae kwa bashasha , kisha akaomba kusalimia mhadhara, baada ya kupewa mic alianza kwa kujigamba kuwa amezungumza na mwenyekt wa mtaa na sasa mabibo hostel wangepewa ofisi , akapigiwa makofi, kisha aka kaa kwa mbwembwe huku akiwataka wanafunz wa msifu kwa lugha ya kichina, baada ya tambo zake kumalizika ndipo alipo simama ndugu Said na kisha kusoma ahad number 8 ya ccm kuwa unafiki kwake mwiko , baada ya kuisoma ahadi hiyo alianza kwa kumueleza bwana zenda namna alivyokataa kuwasaidia wanafunzi wa mabibo kufanikisha sherehe ile ikiwemo kutopokea simu zao na hata kutowasikiliza pale ofisin kwake , kisha akamwambia wewe ni muongo umefika dakika mbili hapa tayali umeshaanda mpango wa kujenga ofisi wakati hata msaada wa kuandaa sherehe hii hukuweza kuutoa , ndipo wanafunz waliposhangilia huku tafrani ikiibuka kwa bwana zenda kuchukia maneno yale yaliyofanya mhadhara wote kumuona kama mtu muongo asiye na msaada kwao, wengi wakasikika wakisema kwanini mtu huyu ndio anapewa uongozi kutuongoza wasomi wa vyuo vikuu .... (itaendelea kadri informer atakavyo tuletea taarifa )