NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,380
Hata wanaume wafupi pia hua wabishi sanaaa wanapenda waonekane warefu,wanapenda kusikilizwa na kujifanya wanajua kila kitu..
exactly mkuuTatizo ukiwa mfupi kila jambo ufanyalo unahisi hawakuoni sasa inabidi ufanye kituko ili uonekane.
Asilimia kubwa ya wanawake wasumbufu ni wale mbilikimo wengi wao ni single mother.
Ila asilimia kubwa ya wanawake wenye waume zao ni hawa warefu yaani wavumilivu watu wa mipango na kutunza familia.
Wafupi waelevu wapo ila ni wachache wengi pasua vichwa .
We ni mfupi?Sio wanawake tu
Hata wanaume wafupi wana matatizo mengi mengi
Sijui hata kuna uhusiano gani Ila wengi wao ni shida tupu!
Agiza kinywaji popote ulipo nakuja kulipa.Tatizo ukiwa mfupi kila jambo ufanyalo unahisi hawakuoni sasa inabidi ufanye kituko ili uonekane.
Asilimia kubwa ya wanawake wasumbufu ni wale mbilikimo wengi wao ni single mother.
Ila asilimia kubwa ya wanawake wenye waume zao ni hawa warefu yaani wavumilivu watu wa mipango na kutunza familia.
Wafupi waelevu wapo ila ni wachache wengi pasua vichwa .
Nina Shemeji yangu yani ni pasua kichwa imebidi familia imzoee kama alivyo ili maisha yaendeVichungu sana moyoni,afu vibishi angalia tabia za wagogo ndo zao
Nahisi bila sisi jukwaa la MMU lisingekuwepo aiseeHawana matatizo yoyote.
Halafu kila siku mnawaandama tu wanawake, thread za kila aina mnawaanzishia. Give them a break!
Tatizo ukiwa mfupi kila jambo ufanyalo unahisi hawakuoni sasa inabidi ufanye kituko ili uonekane.
Asilimia kubwa ya wanawake wasumbufu ni wale mbilikimo wengi wao ni single mother.
Ila asilimia kubwa ya wanawake wenye waume zao ni hawa warefu yaani wavumilivu watu wa mipango na kutunza familia.
Wafupi waelevu wapo ila ni wachache wengi pasua vichwa .
Umeua mkuu.sio wanawake tu hata wanaume, embu kaangalie kamesi nako, japo kana hela nyingi ila kabishi kulipa kodi balaa
Kivipi mkuu nyoosha maelezo???Wanawake wafupi ni wachafu
Ambacho hujaelewa nini??Kivipi mkuu nyoosha maelezo???
Wachafu kivipi???Ambacho hujaelewa nini??
Wagogo tulikukosea nini mkuu?Vichungu sana moyoni,afu vibishi angalia tabia za wagogo ndo zao