mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
TAFASIRI YANGU KATIKA PICHA HII
1.Kila mtu ana uwezo wake tofauti na mwengine. Jifunze kuwaheshimu watu uliowazidi nguvu/uwezo. Si mara zote watakuwa dhaifu.
2. Unapokusudia kumuumiza mwingine, unaweza kuumia wewe. Wakati mwingine mabaya unayotaka kumtendea mwengine yanarudi kwako.
3. Tazama njia unazopitia unapojitafutia ridhiki. Njia nyingine zinaweza kukuletea mauti.
4. Tamaa iwe na kiasi. Tamaa ikifikia kiwango cha uroho, mauti yanakaribia.
5. Maguvu yana mipaka yake. Sio kila mahali utatumia maguvu na kufanikiwa, unahitaji akili zaidi.
6 ".............
1.Kila mtu ana uwezo wake tofauti na mwengine. Jifunze kuwaheshimu watu uliowazidi nguvu/uwezo. Si mara zote watakuwa dhaifu.
2. Unapokusudia kumuumiza mwingine, unaweza kuumia wewe. Wakati mwingine mabaya unayotaka kumtendea mwengine yanarudi kwako.
3. Tazama njia unazopitia unapojitafutia ridhiki. Njia nyingine zinaweza kukuletea mauti.
4. Tamaa iwe na kiasi. Tamaa ikifikia kiwango cha uroho, mauti yanakaribia.
5. Maguvu yana mipaka yake. Sio kila mahali utatumia maguvu na kufanikiwa, unahitaji akili zaidi.
6 ".............