Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Ndio maana wanaua na kuwatesa wananchi/raia wema kila uchao. I believe we'll get over this dark hour
Mwenyekiti wa CCM anapenda mbwa mwitu zaidi kuliko wananchi wake kwahiyo lazima Vodacom wamfurahishe
View attachment 63571
dah, mimi binafsi niliposikia nilistuka, ila nikapotezea maana hii sirikali ya JK hata siielewi elewi.
meng kajaje hapo' ebu nijuzen!