Tafakuri ya FaizaFoxy: CCM imetegwa ikategeka?

Dada Faiza .... tatizo watanzania wengi wanasiasa wanaitikadi za kuedekeza njaa zao zaidi kuliko kutetea maslahi ya wananchi tena walio masikini na wahitaji ..... bado sana
I second you....
Na watanzania wengi pasi kujua au kwa kujua hujikuta wakicheza ngoma za wanasiasa bila kupata maslahi yoyote kiuchumi wala kijamii zaidi kujiongezea chuki na sonona tu.
 
Dah!
Nachokaga sana mnapolinganisha huu utawala wa ulimwengu huu na utawala wa Mungu kimaandiko...
Hakuna chama chochote kinachoongoza au kutarajia kuongoza kwa kanuni za kimaandiko hapa nchini, wanasiasa wote ni wanafiki plus tofauti yao na sisi ambao hatujajidhihirisha iko kwenye kujaribu kutaka kufikia matamanio yetu kimwili kimaandiko ambayo hatuyatendi...
Fursa tu!
Pasuka kabisa kwa hasira
 
Dah!
Nachokaga sana mnapolinganisha huu utawala wa ulimwengu huu na utawala wa Mungu kimaandiko...
Hakuna chama chochote kinachoongoza au kutarajia kuongoza kwa kanuni za kimaandiko hapa nchini, wanasiasa wote ni wanafiki plus tofauti yao na sisi ambao hatujajidhihirisha iko kwenye kujaribu kutaka kufikia matamanio yetu kimwili kimaandiko ambayo hatuyatendi...
Fursa tu!
Pasuka kabisa kwa hasira
 
Dah! Mama umenikumbusha mbali. Hii hali inayojitokeza inaweza ikawa na yote - mtego na hali halisi. Bahati mbaya CCM wamepweteka kwa kuona wapinzani wanamiminika. Huenda inakula kwao lakini pia inawezekana watu wanahama kiukweli. Yaliotokea juzi ya mmoja wa wapinzani kurudi alikotoka linaleta tafakuri hiyo ya mtego. Hata hivyo muda utakuja kusema.
Z
 
Pasuka kabisa kwa hasira
Hiki ni kikombe kilichojaa, kamwe madhaifu ya wanadamu hayawezi niharibia safari maana sitimizi kusudi la mtu bali langu nililoitwa kwalo...
Usitarajie kisichopandwa kuota kupitia mimi.....
Uwe na tafakari njema ukiendelea kuchezeshwa midundo ya wanasiasa kisha waingizie na maandiko ukidhani wanayafuata hayo wakaziacha tamaa zao na wafuasi wao......
 
Umechagua vema kabisaaaaa....
Kwa ufupi siwezi ongea hapa yote, Mimi ufisadi na rushwa sijui maana yake Katika maisha yangu

Kama kutoa pesa ili mtoto wangu afanikiwe au biashara zangu ziwe vizuri ni rushwa au ufisadi, Nitaendelea kutoa rushwa

Na kama mzazi wangu kanisomesha kupitia pesa za uwizi toka ccm na kanipa mtaji wa uwizi toka ccm, Bora awe fisadi ili maisha yetu yasiyumbe

Kama kuna tafsiri tofauti na hapo basi nitarudi tena Udsm niwe kama profesa Lipumba au kabudi
 
Dada c unakumbuka lkn zle trillion zetu zlizoleta gumzo hapa bongo hudhan kuwa zmetumika ktk hii biashara?tuwe wakwel dada muislam hatakiw kuwa muongo (Almuumin laa yakdhibu kwa mujibu wa bwana mkubwa wa din yetu)
Maana jinsi Magufuli na Bashiri walivyousambaratisha upinzani na tunavyoona jinsi wimbi la upinzani lililorudi CCM, inatisha, inabidi mtu ujiulize na kufikiri nje ya boksi.
 
Kwa mtu yeyote aneifahamu Kusini ya mkoa wa Dar Es Salaam ataelewa kuwa ukianza kufika Mtoni (kwa Aziz Ali) kushuka Kusini utakutana na mchezo wa bao la kete (solo).

Bao la kete Kusini ya Tanzania ni mchezo unaochezwa na takriban jamii nzima, kuanzia watoto, vijana hadi wazee, wote, akina mama na akina baba. Bao lina aina ya michezo mingi tofauti. Lakini maarufu ni ule wa kusafiri, kutaka ta, kutembea, kulala na kuulinda Miraji. Ambao hufanyiwa mashindano ya kitaifa. Marehemu Mzee Nyerere alikuwa ni mpenzi wa mchezo huu wa bao.

Licha ya mchezo wa bao kuwepo takriban Tanzania nzima, lakini mchezo huo Kusini umekuwa maarufu zaidi kwa kuwa kwanza inajulikana wachongaji mabao mazuri ya nakshi ni wamakonde, na kusini ndiyo kwao. Pili, mikete, miti ambayo hudondosha kokwa za kete zinazochezewa bao ipo mingi Kusini.

Kwanini nimelikumbuka bao? Bao Lina mitago na mahesabu ya hali ya juu sana kwa wenye kulijuwa kulicheza vizuri, wanaweza kumtega mtu mpaka mizunguko mitano ijayo na kila mzunguko aliyetegwa atakuwa anahisi anashinda tu lakini ndiyo anazidi kumtengenezea njia ya ushindi aliyemtega.

CCM siku za nyuma kidogo imepokea wapinzani wengi sana waliotokea vyama vya upinzani kutoka kada mbali mbali, kuanzia washabiki na wanachama wa kawaida, wenyeviti wa serikali za mitaa, madiwani, wabunge na wengi wengine.

Jee, huu siyo mtego wa upinzani kupandikiza mapandikizi ya kuja kuisambaratisha CCM? Jee, CCM imetegwa ikategeka? CCM tunachezewa "chess" au bao?

Upinzani wa Tanzania unaweza kuwa na vichwa na mahesabu na mitago ya kisiasa kama mahesabu na mitego ya mabingwa wa bao kama Mzee Nyerere, vya kuweza kutega mizunguko mitano ijayo?

Ni tafakuri tu ya FaizaFoxy.
Naunga mkono hoja.......kwa mfano huyu Waitara anavyomkemea Happi au yule Katambi wa Dodoma anavyomtunishia msuli mkurugenzi Kunambi si dalili nzuri!
 
Maana jinsi Magufuli na Bashiri walivyousambaratisha upinzani na tunavyoona jinsi wimbi la upinzani lililorudi CCM, inatisha, inabidi mtu ujiulize na kufikiri nje ya boksi.
Hivi waganga njaa kurudi ccm ndio upinzani kusambaratika? Labda tuwekane sawa kwanza upinzani ni nani na CCM ni nani? CCM sio Magufuli wala Bashiru na Upinzani sio Mbowe, Lissu wala Mdee.. Upinzani ni imani! Aondoke Mbowe, Lissu, Kafulila, Zitto, Maalim, Prof Safari etc etc Upinnzani utabaki pale pale... Mwambieni baba Jesca afanye kama anajikuna aruhusu wapinzani kufanya siasa hata kwa week tu ndio mtajua kama upinzani umeparaganyika,, actually upinzani haukuwahi kua imara kama sasa maana hadi bibi vizee wanateseka hela ya ugoro tu ni shida...
 
CCM bila polisi, usalama wa Taifa, Wakurugenzi, NEC-CCM ni wepesi kushinda unyoya
Nimekumbuka yale mahojiano ya Kibatala na Afande Ngichi...

Wakili Msomi Kibatala: Umeiambia Mahakama ulimsikia Mbowe akitamka kwamba Magufuli ni mwepesi kama karatasi...

Afande Kilaza Ngichi: Ndiyo

Wakili Msomi Kibatala: Ni Magufuli yupi aliyetajwa na Mbowe?

Afande Kilaza Ngichi: Kimya
 
Kwa mtu yeyote aneifahamu Kusini ya mkoa wa Dar Es Salaam ataelewa kuwa ukianza kufika Mtoni (kwa Aziz Ali) kushuka Kusini utakutana na mchezo wa bao la kete (solo).

Bao la kete Kusini ya Tanzania ni mchezo unaochezwa na takriban jamii nzima, kuanzia watoto, vijana hadi wazee, wote, akina mama na akina baba. Bao lina aina ya michezo mingi tofauti. Lakini maarufu ni ule wa kusafiri, kutaka ta, kutembea, kulala na kuulinda Miraji. Ambao hufanyiwa mashindano ya kitaifa. Marehemu Mzee Nyerere alikuwa ni mpenzi wa mchezo huu wa bao.

Licha ya mchezo wa bao kuwepo takriban Tanzania nzima, lakini mchezo huo Kusini umekuwa maarufu zaidi kwa kuwa kwanza inajulikana wachongaji mabao mazuri ya nakshi ni wamakonde, na kusini ndiyo kwao. Pili, mikete, miti ambayo hudondosha kokwa za kete zinazochezewa bao ipo mingi Kusini.

Kwanini nimelikumbuka bao? Bao Lina mitago na mahesabu ya hali ya juu sana kwa wenye kulijuwa kulicheza vizuri, wanaweza kumtega mtu mpaka mizunguko mitano ijayo na kila mzunguko aliyetegwa atakuwa anahisi anashinda tu lakini ndiyo anazidi kumtengenezea njia ya ushindi aliyemtega.

CCM siku za nyuma kidogo imepokea wapinzani wengi sana waliotokea vyama vya upinzani kutoka kada mbali mbali, kuanzia washabiki na wanachama wa kawaida, wenyeviti wa serikali za mitaa, madiwani, wabunge na wengi wengine.

Jee, huu siyo mtego wa upinzani kupandikiza mapandikizi ya kuja kuisambaratisha CCM? Jee, CCM imetegwa ikategeka? CCM tunachezewa "chess" au bao?

Upinzani wa Tanzania unaweza kuwa na vichwa na mahesabu na mitago ya kisiasa kama mahesabu na mitego ya mabingwa wa bao kama Mzee Nyerere, vya kuweza kutega mizunguko mitano ijayo?

Ni tafakuri tu ya FaizaFoxy.

Hapo kwenye RED sema Hayati Baba wa Taifa Mwalimu J. K. Nyerere.
 
I wish 'Wapinzani' wangekuwa na uwezo wa kupanga mbinu kama hizo.

Hao unaowaona wakihama vyama vyao na kukimbilia 'CCM' ni baada ya kuona 'ulaji' waliokuwa wameandaliwa huko wanakopokelewa. Hakuna la zaidi ya hapo.
Akina Mkumbo, 'Tumbili', Mama Mgwai, na hasa watu kama Dr Mihogo walipojazwa matumbo, ni wachache tu walioko huko ndani ya upinzania ambao hawakutamani na wao wajaribu bahati yao.
Kwa hiyo, maoni yangu ni kwamba, wengi wa hao,kama sio wote waliohamia CCM kutoka upinzani ni watafuta fursa.

Napenda kuwekea uzito hoja yangu hii kwa tafakuri.
Kati ya hao waliohama, kuna mwanachama yeyote aliyezungumzia sababu yake ya kuhama iliyojikita kwenye imani yake katika jambo lolote mbali ya "kumuunga mkono Mwenyekiti?" Kuna yeyote aliyeelezea kwa kina 'sera' mpya zilizoibuliwa CCM kwamba ndizo zilizomfanya avutiwe nazo?
Hawa hawana chochote wanachokiamini katika siasa zao, bali kujaza matumbo yao.

Lawama kwa vyama vya upinzani - hawana tofauti kubwa na CCM, kwa sababu hawawaandai, na kuwapika wanachama wao wakaamini wanchokisimamia, mbali ya kuwaondoa CCM ili na wao wapate fursa ya kwenda kula!
(Itanibidi hapa niungame - hata kwa kujua hili, leo hii pakitokea uchaguzi nitawapigia wapinzani licha ya madhaifu yao). Sababu za kufanya hivyo ninazo, lakini huo ni mjadala mwingine.

Mh Lowassa alipohama CCM, hakuhama kwa sabau ya sera nzuri alizoziona huko kwenye vyama vya upinzani. Amerudi CCM, sio kwa sababu CCM sasa hivi ina sera nzuri zaidi ya zile alizokimbia wakati ule. Kama huyu mzee aliweza kufanya hivyo, hawa maskini wenye njaa wataacha kwenda kuliko na neema?

Nimalize habari hii, imekuwa ndefu: tuombe patokee muujiza Tanzania, 2020 (ndio utakuwa ni muujiza, kwa sababu haitegemewi itokee vyama vya upinzani washinde, kwa haki au kwa maguvu) Njaa itahamia CCM. Sijui tunaowaona leo hii wakijibaraguza huko watafanya sarakasi zipi ili wawe ndani ya (upinzani) ambao sasa ndio watakuwa wanagawia wenye matumbo yao shibe.

Naweza kusema kuwa zaidi ya asilimia 90% ya watu waliohama kutoka upinzani kwenda CCM, ikiwa ni pamoja na wale walioteuliwa moja kwa moja kutokea upinzani, hawakufanya hivyo kwa sababu za kisiasa au maslahi binafsi. Soma alama za nyakati kwa kuangalia matukio. Siyo Siasa wala maslahi binafsi
 
Kwa mtu yeyote aneifahamu Kusini ya mkoa wa Dar Es Salaam ataelewa kuwa ukianza kufika Mtoni (kwa Aziz Ali) kushuka Kusini utakutana na mchezo wa bao la kete (solo).

Bao la kete Kusini ya Tanzania ni mchezo unaochezwa na takriban jamii nzima, kuanzia watoto, vijana hadi wazee, wote, akina mama na akina baba. Bao lina aina ya michezo mingi tofauti. Lakini maarufu ni ule wa kusafiri, kutaka ta, kutembea, kulala na kuulinda Miraji. Ambao hufanyiwa mashindano ya kitaifa. Marehemu Mzee Nyerere alikuwa ni mpenzi wa mchezo huu wa bao.

Licha ya mchezo wa bao kuwepo takriban Tanzania nzima, lakini mchezo huo Kusini umekuwa maarufu zaidi kwa kuwa kwanza inajulikana wachongaji mabao mazuri ya nakshi ni wamakonde, na kusini ndiyo kwao. Pili, mikete, miti ambayo hudondosha kokwa za kete zinazochezewa bao ipo mingi Kusini.

Kwanini nimelikumbuka bao? Bao Lina mitago na mahesabu ya hali ya juu sana kwa wenye kulijuwa kulicheza vizuri, wanaweza kumtega mtu mpaka mizunguko mitano ijayo na kila mzunguko aliyetegwa atakuwa anahisi anashinda tu lakini ndiyo anazidi kumtengenezea njia ya ushindi aliyemtega.

CCM siku za nyuma kidogo imepokea wapinzani wengi sana waliotokea vyama vya upinzani kutoka kada mbali mbali, kuanzia washabiki na wanachama wa kawaida, wenyeviti wa serikali za mitaa, madiwani, wabunge na wengi wengine.

Jee, huu siyo mtego wa upinzani kupandikiza mapandikizi ya kuja kuisambaratisha CCM? Jee, CCM imetegwa ikategeka? CCM tunachezewa "chess" au bao?

Upinzani wa Tanzania unaweza kuwa na vichwa na mahesabu na mitago ya kisiasa kama mahesabu na mitego ya mabingwa wa bao kama Mzee Nyerere, vya kuweza kutega mizunguko mitano ijayo?

Ni tafakuri tu ya FaizaFoxy.
Wapinzani wote tuluopokea ni njaa kali wala usiwe na wasiwasi nao. Lengo lao lilikuwa uhakika wa kushibisha matumbo basi
 
Kwa mtu yeyote aneifahamu Kusini ya mkoa wa Dar Es Salaam ataelewa kuwa ukianza kufika Mtoni (kwa Aziz Ali) kushuka Kusini utakutana na mchezo wa bao la kete (solo).

Bao la kete Kusini ya Tanzania ni mchezo unaochezwa na takriban jamii nzima, kuanzia watoto, vijana hadi wazee, wote, akina mama na akina baba. Bao lina aina ya michezo mingi tofauti. Lakini maarufu ni ule wa kusafiri, kutaka ta, kutembea, kulala na kuulinda Miraji. Ambao hufanyiwa mashindano ya kitaifa. Marehemu Mzee Nyerere alikuwa ni mpenzi wa mchezo huu wa bao.

Licha ya mchezo wa bao kuwepo takriban Tanzania nzima, lakini mchezo huo Kusini umekuwa maarufu zaidi kwa kuwa kwanza inajulikana wachongaji mabao mazuri ya nakshi ni wamakonde, na kusini ndiyo kwao. Pili, mikete, miti ambayo hudondosha kokwa za kete zinazochezewa bao ipo mingi Kusini.

Kwanini nimelikumbuka bao? Bao Lina mitago na mahesabu ya hali ya juu sana kwa wenye kulijuwa kulicheza vizuri, wanaweza kumtega mtu mpaka mizunguko mitano ijayo na kila mzunguko aliyetegwa atakuwa anahisi anashinda tu lakini ndiyo anazidi kumtengenezea njia ya ushindi aliyemtega.

CCM siku za nyuma kidogo imepokea wapinzani wengi sana waliotokea vyama vya upinzani kutoka kada mbali mbali, kuanzia washabiki na wanachama wa kawaida, wenyeviti wa serikali za mitaa, madiwani, wabunge na wengi wengine.

Jee, huu siyo mtego wa upinzani kupandikiza mapandikizi ya kuja kuisambaratisha CCM? Jee, CCM imetegwa ikategeka? CCM tunachezewa "chess" au bao?

Upinzani wa Tanzania unaweza kuwa na vichwa na mahesabu na mitago ya kisiasa kama mahesabu na mitego ya mabingwa wa bao kama Mzee Nyerere, vya kuweza kutega mizunguko mitano ijayo?

Ni tafakuri tu ya FaizaFoxy.

Una kawasiwasi kidogo!?

Kila kilichopo kitatoweka.

Ccm inakwenda kutoweka.
 
Back
Top Bottom