FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,816
- 109,099
- Thread starter
- #441
Hapana, Uislam haufundishi mtu ujinga, unamfundisha kuwa huru na kuamini kila mtu.Unaonesha ujinga uliosomeshwa umekujaa tele. Hata kuitazama video hujaitazama umeshapata majibu.
Hakuna Profesa wa "kidini" hapo, sema kweli tu, ujinga uliojazwa unashindwa kutumia neno Wakiislam, ndiyo hayo hayo yanayoongelewa kwenye hiyo video.
Tatizo Waislam wa Tanzania tulifanya dhambi kabla na baada tu ya uhuru.