Tafakuri ya FaiizaFoxy 4: Historia. Professor Rudolph T. Ware III ni Mohamed Said wa USA?

FaizaFoxy

Platinum Member
Apr 13, 2011
92,753
108,973
Alama Mohamed Said ameleta mabadiliko ya historia ya Tanganyika katika medani ya Uhuru na "resistance" iliyofanywa kwa juhudi kubwa ya "Vita ya majimaji" na juhudi binafsi za na nani alikuwa Mkwawa.

Historia hizo tatu kwa uchache zimetufungua macho kwa kiasi kikubwa kuelewa "role" ya wazee wetu na nani haswa walikuwa ni wazalendo wa kweli waliokataa kutawaliwa.

Kwa upande mwengine, ninapomsoma na kumsikiliza Professor Rudolph T. Ware wa USA akimwaga madini yake aliyoyafanyia utafiti wa kina, nnadiriki kusema kuwa Professor Rudolph Ware, tayari na kwa mafanikio makubwa, kama yale ya Alama Mohamed Said ameweza kubadili na anaendelea kwa juhudi kubwa sana kuweka sawa historia inayopotoshwa / iliyopotoshwa kwa namna moja au nyengine.

Naomba tumsikilize kwa umakini Professor Rudolph Ware akiiweka sawa historia ya utumwa na watumwa.

 
Rudolph Ware

Rudolph T. Ware III is an historian of West Africa, at the University of California Santa Barbara. He formerly taught at the University of Michigan and before that at Northwestern University.[1] His work aims to confront and dispel Western misconceptions about Islam.[2] He received his Ph.D. in history in 2004 from the University of Pennsylvania.[3]

Selected publicationsEdit

Jihad of the Pen: Sufi Thought in West Africa Amazon product ASIN 9774168631
  • "The Longue Durée Of Quran Schooling, Society, And State In Senegambia" in New Perspectives on Islam in Senegal. Springer, pp. 21–50.[7]

ReferencesEdit

  1. ^ 4:00-6:00 PM (2017-02-16). "EIHS Lecture: "Visionaries: Second Sight and Social Change in West Africa Since 1800": Rudolph Ware, University of Michigan | U-M LSA Eisenberg Institute for Historical Studies (EIHS)". Lsa.umich.edu. Retrieved 2018-07-18.
  2. ^ [1][dead link]
  3. ^ ""Visionaries: Second Sight and Social Change in Islamic West Africa" with Rudolph Ware - Georgetown". Guevents.georgetown.edu. 2017-02-06. Retrieved 2018-07-18.
  4. ^ "The Walking Qur'an | Rudolph T. Ware III | University of North Carolina Press". Uncpress.org. Retrieved 2018-07-18.
  5. ^ Alden Young (2015-11-09). "A Revisionist History of West Africa - Books & ideas". Books & Ideas. Retrieved 2018-07-18.
  6. ^ Rudolph T. Ware III. Project MUSE - The Walking Qur'an. Muse.jhu.edu. ISBN 9781469614335. Retrieved 2018-07-18.
  7. ^ Ware, Rudolph T. (1994-01-21). "The Longue Durée of Quran Schooling, Society, and State in Senegambia". The Longue Durée Of Quran Schooling, Society, And State In Senegambia | SpringerLink. Link.springer.com. pp. 21–50. doi:10.1057/9780230618503_2. ISBN 978-1-349-37376-5.

External linksEdit


Stub icon This biography of an American historian is a stub. You can help Wikipedia by expanding it.
 
Alama Mohamed Said ameleta mabadiliko ya historia ya Tanganyika katika medani ya Uhuru na "resistance" iliyofanywa kwa juhudi kubwa ya "Vita ya majimaji" na juhudi binafsi za na nani alikuwa Mkwawa.

Historia hizo tatu kwa uchache zimetufungua macho kwa kiasi kikubwa kuelewa "role" ya wazee wetu na nani haswa walikuwa ni wazalendo wa kweli waliokataa kutawaliwa.

Kwa upande mwegine, ninapomsoma na kumsikiliza Professor Rudolph T. Ware wa USA akimwaga madini yake aliyoyafanyia utafiti wa kina, nnadiriki kusema kuwa Professor Rudolph Ware, tayari na kwa mafanikio makubwa, kama yale ya Alama Mohamed Said ameweza kubadili na anaendelea kwa juhudi kubwa sana kuweka sawa historia inayopotoshwa / iliyopotoshwa kwa namna moja au nyengine.

Naomba tumsikilize kwa umakini Professor Rudolph Ware akiiweka sawa historia utumwa.


Unaposema "Alama Muhammed Said". Hili tamko "Alama" unamaanisha nini ?

Msaada tafadhali.
 
Sio darsa ni darasa na sio khiyana ni hiyana acha kutuharibia kiswahili ajuza wewe.

BTW hii mada haina maana ni ya kijinga ndio maana inapitwa kama mwanamke malaya
Darasa ni chumba cha kusomeshea au kufundishia. Darsa ni kile unachosomeshwa.

Khiyana: Kwetu ambao lugha yetu mama ni Kswahili twatamka hivyo.

Hiyana = khiyana
Haini = Khain

Ningekupa darsa zaidi kuhusu chanzo cha maneno hayo lakini nakupa "homework" kidogo, nenda kachimbue kuhusu "Cain" wa kwenye Bible halafu urudi kueleza jina hilo Kihebrania linatamkwaje na uje utupe kisa cha Cain.

Huwa sikisii.

Nilikufahamisha juu huko, hii mada ni nzito kwako, naona mada umeachana nayo unatafuta pakutokea.

Narudia, huwa sikisii.
 
Issue yako ni chuki dhidi ya yake na dini yake.
Huyo anaejiita Dripboy ni "typical" punguani wa zao la "single mother", si unaona jinsi asivyo na adabu katika maandiko yake humu?

Huyo ni wale watoto ambao kila mwanamme anaeingia kwao anaambiwa "mwamkie baba'ko". Mwishowe wanadhani kila mtu anaweza kuwa baba wa yeyote.

Afanaalek kufa hakuna break.
 
Back
Top Bottom