Tafakuri tata: Tundu Lissu hajawahi kulitesa Bunge wala Serikali. Je, alishambuliwa na nani?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,829
141,744
Maneno yamekuwa mengi sana kuhusiana na shambulizi lililomjeruhi mh Tundu Lisu na hata sasa haijabainika sawia ni nini hasa kimetokea.
Katika kutafakari nikajiuliza pale bungeni Tundu Lisu amewahi kutishia maslahi ya nani?.......sijaona

Je, Lisu amewahi kuibua issue yoyote kubwa ya ufisadi serikalini...... Hapana, ufisadi mkubwa umewahi kuibuliwa na Dr Slaa, Zitto Kabwe na David Kafulila.

Je, Lisu amewahi kutamani kuwa KUB......Hapana aliyetamani ni Zitto wakati akiwa bado yuko Chadema.

Je Lisu amewahi kumshinikiza kiongozi yeyote wa juu ajiuzulu akiwa bungeni..... Hapana waliowahi kushinikiza ni Zitto na Nassari wakati wa operesheni Tokomeza wakitishia kumuondoa Waziri mkuu kama mawaziri waliotajwa ripotini hawatatumbuliwa. David Mathayo alitumbuliwa bila kutajwa kwenye ripoti.

Mwisho nimejiuliza Lisu amewahi kutangaza nia ya kugombea urais akiwa bungeni..... Hapana aliyetangaza ni Zitto akiwa Chadema tena kabla hajatimiza umri wa kikatiba wa miaka 40 baadae alikikimbia chama hicho.

Sasa hao maadui wa Tundu Antipas Lisu wanatoka wapi hadi huyu mheshimiwa kuondoka na dereva wake na kwenda kutangazia nia yake ya kugombea urais huko ughaibuni badala ya Ufipa pale Kinondoni?

Daudi Mchambuzi soma hiyooooo!
Maendeleo hayana vyama!
 
Na mtu anayeiita ripoti ya maprofesa ni professorial rubish anastahili nini kama sio pyuu pyuuuu!! sikumbuki haya maneno yalisemwa na nani vile???
 
Na mtu anayeiita ripoti ya maprofesa ni professorial rubish anastahili nini kama sio pyuu pyuuuu!! sikumbuki haya maneno yalisemwa na nani vile???
Hayo maneno yalitamkwa na Jiwe

Na baada ya muda mfupi yakatekekezwa.....

Lakini Mungu alionyesha Ukuui wake kwa kumuepusha na kifo Tundu Lissu, licha ya kumiminiwa risasi zaidi ya 30 kwenye gari yake!
 
A
Maneno yamekuwa mengi sana kuhusiana na shambulizi lililomjeruhi mh Tundu Lisu na hata sasa haijabainika sawia ni nini hasa kimetokea.
Katika kutafakari nikajiuliza pale bungeni Tundu Lisu amewahi kutishia maslahi ya nani?.......sijaona

Je, Lisu amewahi kuibua issue yoyote kubwa ya ufisadi serikalini...... Hapana, ufisadi mkubwa umewahi kuibuliwa na Dr Slaa, Zitto Kabwe na David Kafulila.

Je, Lisu amewahi kutamani kuwa KUB......Hapana aliyetamani ni Zitto wakati akiwa bado yuko Chadema.

Je Lisu amewahi kumshinikiza kiongozi yeyote wa juu ajiuzulu akiwa bungeni..... Hapana waliowahi kushinikiza ni Zitto na Nassari wakati wa operesheni Tokomeza wakitishia kumuondoa Waziri mkuu kama mawaziri waliotajwa ripotini hawatatumbuliwa. David Mathayo alitumbuliwa bila kutajwa kwenye ripoti.

Mwisho nimejiuliza Lisu amewahi kutangaza nia ya kugombea urais akiwa bungeni..... Hapana aliyetangaza ni Zitto akiwa Chadema tena kabla hajatimiza umri wa kikatiba wa miaka 40 baadae alikikimbia chama hicho.

Sasa hao maadui wa Tundu Antipas Lisu wanatoka wapi hadi huyu mheshimiwa kuondoka na dereva wake na kwenda kutangazia nia yake ya kugombea urais huko ughaibuni badala ya Ufipa pale Kinondoni?

Daudi Mchambuzi soma hiyooooo!
Maendeleo hayana vyama!
Adui yake in yule aliyeamwagiza spika kuwa tundu lisu akifa asiagwe na kuzikwa kwa heshima ya bunge, pia yule aliyezuia lissu asipewe gharama za matibabu na bunge
 
Hayo maneno yalitamkwa na Jiwe

Na baada ya muda mfupi yakatekekezwa.....

Lakini Mungu alionyesha Ukuui wake kwa kumuepusha na kifo Tundu Lissu, licha ya kumiminiwa risasi zaidi ya 30 kwenye gari yake!
Una uhakika alimiminiwa risasi zaidi ya 30?!!!
 
Kulikuwepo na maelezo kutoka sehemu fulani kipindi kile cha makinikia kwamba sasa hivi tupo kwenye vita ya kiuchumi na lazima twende pamoja. Katika kipindi hicho hicho mheshimiwa mbunge TL alikuwa akipinga sana approach iliyokuwa ikitumika katika vita hiyo ya kiuchumi. Hapo ndipo ilipotoka kauli ya "Mnapokuwa vitani halafu askari mmoja akajaribu kurudi nyuma mnajua huwa anafanywa nini." Wale "ROGUE" element waliopo ndani system wakawa wamepata kibali cha kuua.
 
Angekuwa alipigwa na watu wengine, Serikali ingemuignore na kuona anachoongea ni kuhangaika kwake tu.

Lakini haijampuuza kwasababu inajua ilichomfanya.

Adui wa TL ni Bashite (huyu ndie mpambe mkuu wa jiwe)
 
Back
Top Bottom