Tafakuri na Dkt. Yahya: Namkumbusha Zitto na nawashangaa Watanzania

CalvinKimaro

JF-Expert Member
Sep 11, 2017
244
312
Imeandikwa na Mtaalam Yahya Msangi

FANYA TAFAKURI NA DR. YAHYA: NAMKUMBUSHA ZITTO NA NAWASHANGAA WATANZANIA VIKOKOTEO

Kipindi Mizengo Pinda kateuliwa kushika wadhifa Wa Uwaziri Mkuu baada ya aliyekuwepo kufurumushwa kwa kashfa ya Richmond lilizuka wimbi la kumsakama Raisi Kikwete, Kharib Bilal na Pinda kuwa mishahara yao ni mikubwa mno.

Kama ulivyo uchawi ambapo mlozi huloga hadi ndugu ndivyo ilivyokuwa kwa sakata hili lililoshikiwa bango na Zitto.

Zitto bila kujua analoga kwao alitangaza kipato cha mbunge kwa mwezi. Wenye akili tulijiuliza hivi anayetuhumu wenzake kuwa mishahara yao mikubwa anapata wapi ujasiri wa kutangaza mishahara wake wa kufuru?

Haya hapa ndio marupurupu ya wabunge aliyotangaza Zitto kana kwamba ni madogo:

1. Basic Salary (6,000,000)
2. Posho ya ukarimu wageni (1,000,000)
3. Posho ya pango (1,250,000)
4. Ada ya kujiunga gym (60,000)
5. Matengenezo ya gari (3,000,000)
6. Posho ya uchakavu Wa gari (3,000,000)
7. Posho ya vikao vya kamati -hii ni kwa siku (100,000 x siku za kikao/vikao)
8. Posho ya Jimbo (900,000)
JUMLA. = 16,000,000!

Hii sio mimi niliyeorodhesha nimenukuu tuu taarifa aliyotoa Zitto kipindi kile! Ni taarifa aliyotoa mnufaika kwa hiyo lazima ni sahihi 100%. Alipiga hesabu ya alichokuwa akipokea wakati ule. Kwa kuwa bunge letu lina mazoea ya kuboresha haya mapato kila kikao chake cha kwanza hakika kwa sasa yapo juu zaidi ya hapo.

Je, Zitto ni mtetezi au mmoja Wa watesi Wa wanyonge? Zitto anapobweka kuwa anawatetea mfano wakulima wa korosho ana udhu? Je hawaibii wakulima haohao kupitia haya mapato ya ubunge? Au anatuambia wanalipwa kwa hela inayotolewa na wafadhili na sio hela itokanayo na mauzo ya mazao ya wakulima?

Je, huyu Esther Bulaya anayebweka kuwa amesaidia wafanyakazi kupata pensheni ana udhu? Hivi hawaibii wafanyakazi kodi inayokatwa toka mishahara yao?

Lakini wa ajabu kabisa ni ndugu zangu washabiki wa kikokoteo! Hivi mna ubongo? Hebu someni tena na tena hayo mapato ya kina Esther Bulaya! Ni watetezi au watesi wenu? Kweli ukila na kipofu usimguse mkono!

Mnashangilia kifo chenu? Watesi wenu ndio mmewafanya mushujaa wenu?
Narudia, narudia narudia wee nashindwa kujua hivi nyie vikokoteo mmeumbwa kwa udongo au saruji ya Dangote?

Raisi Magufuli achana na vikokoteo! Tatizo sio kikokoto. Nilishaorodhesha genuine problems za pension Tanzania. Mojawapo ni hili LA ubaguzi uliokithiri kwenye pension. Tuweke kapu moja! Ondosha huu ubaguzi. Utakusaidia kuondosha mengi. Hivi anayeokota fedha kiulaini hivi ataacha kupata jeuri ya kukutukana Mkuu Wa nchi?

Ataacha kwenda BBC kuropoka? Ataacha kuwa na jeuri ya kukataa huduma za hospitali zetu na kukimbilia hospitali za nje na kujigeuza mkimbizi mgonjwa? Ataacha kuitwa mahakamani aamue kwenda Rwanda? Ataacha kulipa waandishi wenye njaa kuhudhuria press ya kusema uongo?

Ndio maana gazeti moja LA nje liliposikia hii taarifa ya Zitto liliandika THE HYENAS OF TANZANIA ARE THE MORE GREEDY IN THE WHOLE WORLD!

Yes they are! Please Mr President you have the power and most obviously the will to bring this HYENAs PARTY TO AN END.

Mheshimiwa Rais , Dhambi ya kubaguana kwenye pension imeanza kututafuna!

1546608130147.png

https://answersafrica.com/latest-salaries-top-tanzanian-politicians-revealed.html?fbclid=IwAR3Nox8lZKG10QP6Yu7ZuEP96d7V3e08NV0b_JW84NkIFcC0ksFvsVKgqJQ
 
We jamaa ni punguani namba moja kabisa Tanzania hii. Hivi Zitto kama angekuwa na nia mbaya na angekuwa na njaa na hizo hela angeweka huo mchanganuo hadharani, kwanza hukueleza sababu ya yeye kuuweka huo mchanganuo! Je, alisema hivyo kwa minajili kuwa ni pesa ndogo na anataka waongezewe au nia yake ilikua nini?

Nyie mnaofaidi ufisadi wa chinichini uliokithiri ndio mnaoteseka sana kwa viongozi wa upunzani wenye nia nzuri na uchungu na nchi ndio mnaowaona kuwa hawafai. Ni wajibu wao kukemea pale wanapoona mambo hayaendei sawa na pale wanapoona nchi inaenda visivyo. Ila kutokana na maslahi yenu na matumbo yenu hamtaki kuguswa kabisa.
 
Hujajua tatizo liko wapi... Tatizo sio Zitto... Tatizo ni walioweka huo mfumo na wanaufurahia... Hata zito akisema sipokei hio hela hiyo ni % ndogo sana ya Bunge zima... Tunawajua wapo wengi wanaofurahia hiyo kitu hata linapotekea jampo they dont have to argue na walipa posho wao bali ni kupiga makofi na kusema ndioo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imeandikwa na Mtaalam Yahya Msangi

FANYA TAFAKURI NA DR. YAHYA: NAMKUMBUSHA ZITTO NA NAWASHANGAA WATANZANIA VIKOKOTEO

Kipindi Mizengo Pinda kateuliwa kushika wadhifa Wa Uwaziri Mkuu baada ya aliyekuwepo kufurumushwa kwa kashfa ya Richmond lilizuka wimbi la kumsakama Raisi Kikwete, Kharib Bilal na Pinda kuwa mishahara yao ni mikubwa mno.

Kama ulivyo uchawi ambapo mlozi huloga hadi ndugu ndivyo ilivyokuwa kwa sakata hili lililoshikiwa bango na Zitto.

Zitto bila kujua analoga kwao alitangaza kipato cha mbunge kwa mwezi. Wenye akili tulijiuliza hivi anayetuhumu wenzake kuwa mishahara yao mikubwa anapata wapi ujasiri wa kutangaza mishahara wake wa kufuru?

Haya hapa ndio marupurupu ya wabunge aliyotangaza Zitto kana kwamba ni madogo:

1. Basic Salary (6,000,000)
2. Posho ya ukarimu wageni (1,000,000)
3. Posho ya pango (1,250,000)
4. Ada ya kujiunga gym (60,000)
5. Matengenezo ya gari (3,000,000)
6. Posho ya uchakavu Wa gari (3,000,000)
7. Posho ya vikao vya kamati -hii ni kwa siku (100,000 x siku za kikao/vikao)
8. Posho ya Jimbo (900,000)
JUMLA. = 16,000,000!

Hii sio mimi niliyeorodhesha nimenukuu tuu taarifa aliyotoa Zitto kipindi kile! Ni taarifa aliyotoa mnufaika kwa hiyo lazima ni sahihi 100%. Alipiga hesabu ya alichokuwa akipokea wakati ule. Kwa kuwa bunge letu lina mazoea ya kuboresha haya mapato kila kikao chake cha kwanza hakika kwa sasa yapo juu zaidi ya hapo.

Je, Zitto ni mtetezi au mmoja Wa watesi Wa wanyonge? Zitto anapobweka kuwa anawatetea mfano wakulima wa korosho ana udhu? Je hawaibii wakulima haohao kupitia haya mapato ya ubunge? Au anatuambia wanalipwa kwa hela inayotolewa na wafadhili na sio hela itokanayo na mauzo ya mazao ya wakulima?

Je, huyu Esther Bulaya anayebweka kuwa amesaidia wafanyakazi kupata pensheni ana udhu? Hivi hawaibii wafanyakazi kodi inayokatwa toka mishahara yao?

Lakini wa ajabu kabisa ni ndugu zangu washabiki wa kikokoteo! Hivi mna ubongo? Hebu someni tena na tena hayo mapato ya kina Esther Bulaya! Ni watetezi au watesi wenu? Kweli ukila na kipofu usimguse mkono!

Mnashangilia kifo chenu? Watesi wenu ndio mmewafanya mushujaa wenu?
Narudia, narudia narudia wee nashindwa kujua hivi nyie vikokoteo mmeumbwa kwa udongo au saruji ya Dangote?

Raisi Magufuli achana na vikokoteo! Tatizo sio kikokoto. Nilishaorodhesha genuine problems za pension Tanzania. Mojawapo ni hili LA ubaguzi uliokithiri kwenye pension. Tuweke kapu moja! Ondosha huu ubaguzi. Utakusaidia kuondosha mengi. Hivi anayeokota fedha kiulaini hivi ataacha kupata jeuri ya kukutukana Mkuu Wa nchi?

Ataacha kwenda BBC kuropoka? Ataacha kuwa na jeuri ya kukataa huduma za hospitali zetu na kukimbilia hospitali za nje na kujigeuza mkimbizi mgonjwa? Ataacha kuitwa mahakamani aamue kwenda Rwanda? Ataacha kulipa waandishi wenye njaa kuhudhuria press ya kusema uongo?

Ndio maana gazeti moja LA nje liliposikia hii taarifa ya Zitto liliandika THE HYENAS OF TANZANIA ARE THE MORE GREEDY IN THE WHOLE WORLD!

Yes they are! Please Mr President you have the power and most obviously the will to bring this HYENAs PARTY TO AN END.

Mheshimiwa Rais , Dhambi ya kubaguana kwenye pension imeanza kututafuna!

View attachment 985871
https://answersafrica.com/latest-salaries-top-tanzanian-politicians-revealed.html?fbclid=IwAR3Nox8lZKG10QP6Yu7ZuEP96d7V3e08NV0b_JW84NkIFcC0ksFvsVKgqJQ
Ndo umeandika takataka gani
 
We jamaa ni punguani namba moja kabisa Tanzania hii. Hivi Zitto kama angekuwa na nia mbaya na angekuwa na njaa na hizo hela angeweka huo mchanganuo hadharani, kwanza hukueleza sababu ya yeye kuuweka huo mchanganuo! Je, alisema hivyo kwa minajili kuwa ni pesa ndogo na anataka waongezewe au nia yake ilikua nini?

Nyie mnaofaidi ufisadi wa chinichini uliokithiri ndio mnaoteseka sana kwa viongozi wa upunzani wenye nia nzuri na uchungu na nchi ndio mnaowaona kuwa hawafai. Ni wajibu wao kukemea pale wanapoona mambo hayaendei sawa na pale wanapoona nchi inaenda visivyo. Ila kutokana na maslahi yenu na matumbo yenu hamtaki kuguswa kabisa.
Mkuu kumbuka wakati huo Zitto alikuwa Mwenyekiti wa PAC na kulikuwa na tetesi kuwa alikuwa anapokea rushwa kama mwendawazimu pia mabeberu yalikuwa hadi sasa yana mfinance. Nimeingia kwenye sala ili huyo msaliti Zitto mwaka 2020 asipate Ubunge kabisa!
 
We jamaa ni punguani namba moja kabisa Tanzania hii. Hivi Zitto kama angekuwa na nia mbaya na angekuwa na njaa na hizo hela angeweka huo mchanganuo hadharani, kwanza hukueleza sababu ya yeye kuuweka huo mchanganuo! Je, alisema hivyo kwa minajili kuwa ni pesa ndogo na anataka waongezewe au nia yake ilikua nini?

Nyie mnaofaidi ufisadi wa chinichini uliokithiri ndio mnaoteseka sana kwa viongozi wa upunzani wenye nia nzuri na uchungu na nchi ndio mnaowaona kuwa hawafai. Ni wajibu wao kukemea pale wanapoona mambo hayaendei sawa na pale wanapoona nchi inaenda visivyo. Ila kutokana na maslahi yenu na matumbo yenu hamtaki kuguswa kabisa.
Kumbuka Mama Kikokotoo ametumbuliwa kwa sababu ya kanuni mbovu iliyopigiwa Kelele na Zito na Shujaa Ester Bulaya.

Nadhani hao ni ndugu au Mume au rafiki au kundi lililotegemea kunufaika na hicho kikokotoo kwa kujiongezea mishahara mikubwa na madili ya Miradi mfu iliyokuwa imeshakusudiwa. Sasa wameona Mh. Rais amekubali maoni na ushauri wa Zito na Bulaya roho zinawauma mana wanaona na mengine yataibuka na yatafanyiwa kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imeandikwa na Mtaalam Yahya Msangi

FANYA TAFAKURI NA DR. YAHYA: NAMKUMBUSHA ZITTO NA NAWASHANGAA WATANZANIA VIKOKOTEO

Kipindi Mizengo Pinda kateuliwa kushika wadhifa Wa Uwaziri Mkuu baada ya aliyekuwepo kufurumushwa kwa kashfa ya Richmond lilizuka wimbi la kumsakama Raisi Kikwete, Kharib Bilal na Pinda kuwa mishahara yao ni mikubwa mno.

Kama ulivyo uchawi ambapo mlozi huloga hadi ndugu ndivyo ilivyokuwa kwa sakata hili lililoshikiwa bango na Zitto.

Zitto bila kujua analoga kwao alitangaza kipato cha mbunge kwa mwezi. Wenye akili tulijiuliza hivi anayetuhumu wenzake kuwa mishahara yao mikubwa anapata wapi ujasiri wa kutangaza mishahara wake wa kufuru?

Haya hapa ndio marupurupu ya wabunge aliyotangaza Zitto kana kwamba ni madogo:

1. Basic Salary (6,000,000)
2. Posho ya ukarimu wageni (1,000,000)
3. Posho ya pango (1,250,000)
4. Ada ya kujiunga gym (60,000)
5. Matengenezo ya gari (3,000,000)
6. Posho ya uchakavu Wa gari (3,000,000)
7. Posho ya vikao vya kamati -hii ni kwa siku (100,000 x siku za kikao/vikao)
8. Posho ya Jimbo (900,000)
JUMLA. = 16,000,000!

Hii sio mimi niliyeorodhesha nimenukuu tuu taarifa aliyotoa Zitto kipindi kile! Ni taarifa aliyotoa mnufaika kwa hiyo lazima ni sahihi 100%. Alipiga hesabu ya alichokuwa akipokea wakati ule. Kwa kuwa bunge letu lina mazoea ya kuboresha haya mapato kila kikao chake cha kwanza hakika kwa sasa yapo juu zaidi ya hapo.

Je, Zitto ni mtetezi au mmoja Wa watesi Wa wanyonge? Zitto anapobweka kuwa anawatetea mfano wakulima wa korosho ana udhu? Je hawaibii wakulima haohao kupitia haya mapato ya ubunge? Au anatuambia wanalipwa kwa hela inayotolewa na wafadhili na sio hela itokanayo na mauzo ya mazao ya wakulima?

Je, huyu Esther Bulaya anayebweka kuwa amesaidia wafanyakazi kupata pensheni ana udhu? Hivi hawaibii wafanyakazi kodi inayokatwa toka mishahara yao?

Lakini wa ajabu kabisa ni ndugu zangu washabiki wa kikokoteo! Hivi mna ubongo? Hebu someni tena na tena hayo mapato ya kina Esther Bulaya! Ni watetezi au watesi wenu? Kweli ukila na kipofu usimguse mkono!

Mnashangilia kifo chenu? Watesi wenu ndio mmewafanya mushujaa wenu?
Narudia, narudia narudia wee nashindwa kujua hivi nyie vikokoteo mmeumbwa kwa udongo au saruji ya Dangote?

Raisi Magufuli achana na vikokoteo! Tatizo sio kikokoto. Nilishaorodhesha genuine problems za pension Tanzania. Mojawapo ni hili LA ubaguzi uliokithiri kwenye pension. Tuweke kapu moja! Ondosha huu ubaguzi. Utakusaidia kuondosha mengi. Hivi anayeokota fedha kiulaini hivi ataacha kupata jeuri ya kukutukana Mkuu Wa nchi?

Ataacha kwenda BBC kuropoka? Ataacha kuwa na jeuri ya kukataa huduma za hospitali zetu na kukimbilia hospitali za nje na kujigeuza mkimbizi mgonjwa? Ataacha kuitwa mahakamani aamue kwenda Rwanda? Ataacha kulipa waandishi wenye njaa kuhudhuria press ya kusema uongo?

Ndio maana gazeti moja LA nje liliposikia hii taarifa ya Zitto liliandika THE HYENAS OF TANZANIA ARE THE MORE GREEDY IN THE WHOLE WORLD!

Yes they are! Please Mr President you have the power and most obviously the will to bring this HYENAs PARTY TO AN END.

Mheshimiwa Rais , Dhambi ya kubaguana kwenye pension imeanza kututafuna!

View attachment 985871
https://answersafrica.com/latest-salaries-top-tanzanian-politicians-revealed.html?fbclid=IwAR3Nox8lZKG10QP6Yu7ZuEP96d7V3e08NV0b_JW84NkIFcC0ksFvsVKgqJQ
Hawa ndio wachambuzi vihiyo..! Upuuzi mtupu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom