nygax
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,370
- 865
Amani iwe kwenu.
Nimesikia kauli iliyotolewa na aliyekuwa katibu mkuu Simanjiro, CHADEMA, alipokuwa anatangaza kubwaga manyanga na kujiunga na CCM, kwamba ameamua kuondoka na kujiunga na CCM kwa sababu mabadiliko ya kweli anayaona ndani ya chama hiki, nikaona si vibaya tujaribu kutafakari kidogo juu ya ama ukweli au uongo wa hoja hizi kwa mustakabali wa upinzani imara.
Zifuatazo ni baadhi tu ya hoja ambazo hutolewa, ama na wana CCM wenyewe au watu wanaohama kutoka CHADEMA kwenda CCM:
- CHADEMA wamepoteza dira.
-CHADEMA kimekuwa kichaka cha kujifichia watu `wachafu'
-CHADEMA hakioneshi nia ya dhati ya kushika dola.
CHADEMA kimefilisika hoja.
Kwa hoja hizi chache naomba tujadili, zipuuzwe ama kuna haja ya kufanya tafakuri?
Nawasilisha.
Nimesikia kauli iliyotolewa na aliyekuwa katibu mkuu Simanjiro, CHADEMA, alipokuwa anatangaza kubwaga manyanga na kujiunga na CCM, kwamba ameamua kuondoka na kujiunga na CCM kwa sababu mabadiliko ya kweli anayaona ndani ya chama hiki, nikaona si vibaya tujaribu kutafakari kidogo juu ya ama ukweli au uongo wa hoja hizi kwa mustakabali wa upinzani imara.
Zifuatazo ni baadhi tu ya hoja ambazo hutolewa, ama na wana CCM wenyewe au watu wanaohama kutoka CHADEMA kwenda CCM:
- CHADEMA wamepoteza dira.
-CHADEMA kimekuwa kichaka cha kujifichia watu `wachafu'
-CHADEMA hakioneshi nia ya dhati ya kushika dola.
CHADEMA kimefilisika hoja.
Kwa hoja hizi chache naomba tujadili, zipuuzwe ama kuna haja ya kufanya tafakuri?
Nawasilisha.