Tafakuri: Kwanini wanyama wanatofautiana maumbo kutokana na jinsia?

No Escape

JF-Expert Member
Mar 7, 2016
6,663
7,737
Mungu anatufundisha nini hapa sisi hapa binadam? kaweka wanyama au ndege kwa Asilimia kubwa kwa wa jinsia ya kiume kuwa na maumbo makubwa na na wa kike kuwa na maumbo madogo!!

Utafiti wangu umeligundua hilo ingawa sio wote ila ni wengi wao wapo hivyo.
 
Mkuu utafiti wako umeufanyia wapi mbona ameandika viseversa, navyojua wakike umbo kubwa wakiume ndio madogo.

Portfolio | 2020
 
Kwani wewe na mwamnamke mko sawa
Mungu anatufundisha nini hapa sisi hapa binadam? kaweka wanyama au ndege kwa Asilimia kubwa kwa wa jinsia ya kiume kuwa na maumbo makubwa na na wa kike kuwa na maumbo madogo!!

Utafiti wangu umeligundua hilo ingawa sio wote ila ni wengi wao wapo hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Okay

Nafikiri ujumbe uliopo ni kwamba jinsia ya kiume ndio inapaswa kuwa kiongozi e?sababu ina miili mikubwa mikubwa
Mwili mkubwa sio sifa ya kuwa kiongozi....Ila nimetafakari kwa kina,kwa nini ipo hivyo!
 
Back
Top Bottom