kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
We omba msaada utasaidiwa lakini usikae kutisha watu, Mungu alituumba ili tufurahie maisha na si kutesekaWasalaaaam!
Kuna haja ya kujiuliza Kisha kupata jawabu sahihi.
Je, kuna faida gani kuwa na maisha ya kifahali sana huku ufahali huo utauacha ndani ya sekunde moja ya ukamilisho wa maisha yako?
Katika jamii yetu ya Kitanzania, kuna watu walio katika Magroup ya uhitaji na hawana msaada, mfano, machokolaa, yatima, walemavu, vipofu nk
Je, ni kwa Nini wewe uliyejaaliwa neema ya maisha ya ufahali, ukaishi kwa kiasi na Kisha ukawaangaliwa hao wenye uhiyahitaji maalumu?
Nakumbusha tu, ya kuwa Maandiko matakatifu yanatwambia, "Dini iliyosafi Ni ile inayowajali yatima na wajane"
Kwanini usiweke hazina yako mbinguni ambako hakuna kutu wala uaharibifu wowote?
#miaka inaenda kasi Sana, nasi tunatoweka mara moja, je, ufahali wako utamwachia nani?