mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,050
- 4,903
Wasalaaaam!
Kuna haja ya kujiuliza Kisha kupata jawabu sahihi.
Je, kuna faida gani kuwa na maisha ya kifahari sana huku ufahari huo utauacha ndani ya sekunde moja ya ukamilisho wa maisha yako?
Katika jamii yetu ya Kitanzania, kuna watu walio katika Magroup ya uhitaji na hawana msaada, mfano, machokoraa, yatima, walemavu, vipofu nk
Je, ni kwa Nini wewe uliyejaaliwa neema ya maisha ya ufahari, ukaishi kwa kiasi na Kisha ukawaangaliwa hao wenye uhiyahitaji maalumu?
Nakumbusha tu, ya kuwa Maandiko matakatifu yanatwambia, "Dini iliyosafi Ni ile inayowajali yatima na wajane"
Kwanini usiweke hazina yako mbinguni ambako hakuna kutu wala uaharibifu wowote?
#miaka inaenda kasi Sana, nasi tunatoweka mara moja, je, ufahali wako utamwachia nani?
Kuna haja ya kujiuliza Kisha kupata jawabu sahihi.
Je, kuna faida gani kuwa na maisha ya kifahari sana huku ufahari huo utauacha ndani ya sekunde moja ya ukamilisho wa maisha yako?
Katika jamii yetu ya Kitanzania, kuna watu walio katika Magroup ya uhitaji na hawana msaada, mfano, machokoraa, yatima, walemavu, vipofu nk
Je, ni kwa Nini wewe uliyejaaliwa neema ya maisha ya ufahari, ukaishi kwa kiasi na Kisha ukawaangaliwa hao wenye uhiyahitaji maalumu?
Nakumbusha tu, ya kuwa Maandiko matakatifu yanatwambia, "Dini iliyosafi Ni ile inayowajali yatima na wajane"
Kwanini usiweke hazina yako mbinguni ambako hakuna kutu wala uaharibifu wowote?
#miaka inaenda kasi Sana, nasi tunatoweka mara moja, je, ufahali wako utamwachia nani?