Tafakuri juu ya ukimya wa Rais kuhusu Baraza la Mawaziri

masatujr1985

JF-Expert Member
Oct 27, 2011
1,980
780
Salaam ndugu wana jamvi,

Naandika andiko hili kwa kujaribu tu kutafakari ni kwa namna gani Mh. Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli atakavyokuwa anahangaika kupanga safu ya kiutendaji katika kutimiza muhimili wa tatu wa serikali yaani Baraza la Mawaziri lakini wale wanaosubiri kuteuliwa wakiwa matumbo joto kubaini kama wamo ama la!!!.

Ninachokiona hapa ni kuwa wakati Mh. Rais akiendelea na zoezi hilo gumu, upande wa pili wa wanasiasa ambao wamekaa mkao wa kusubiri ni nani atatangazwa hasa hasa wale wa chama tawala nauona kama ni mgumu zaidi hata ya mteuaji mwenyewe. Kwa nini nasema hivyo, ni kutokana na muda uliopita sasa toka Mh. Rais aingie Ikulu na kumteua Waziri Mkuu na takribani siku 33 sasa fumbo la baraza halijafumbuliwa!!!

Sasa ninachokiona ni kuwa jamaa watakuwa wanahaha hapa, huku na kule kuulizia ulizia kama jamaa amewakumbuka kila uchao. Hii ni kawaida kwa mwanadamu anapokuwa anasubiria jambo positive ambalo anadhani anaweza kuwa muathirika kwa namna moja ama nyingine lakini akalikosa.

Nadhani kama Mh. Rais anakuwa accessed kwa simu basi natumai simu zile za naomba uniteue ama za kuombewa fulani ateuliwe zitakuwa ni nyingi ama zimepungua kutokana na kasi ya mapacha watatu (Rais, Makamu na WM).

Ni tafakuri tu juu ya purukushani za kuteuliwa kuwa mmoja ya mawaziri wa serikali ya JPM.

Wewe unatafakuri ipi?

Wakatabahu
 
Salaam ndugu wana jamvi,

Naandika andiko hili kwa kujaribu tu kutafakari ni kwa namna gani Mh. Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli atakavyokuwa anahangaika kupanga safu ya kiutendaji katika kutimiza muhimili wa tatu wa serikali yaani Baraza la Mawaziri lakini wale wanaosubiri kuteuliwa wakiwa matumbo joto kubaini kama wamo ama la!!!.

Ninachokiona hapa ni kuwa wakati Mh. Rais akiendelea na zoezi hilo gumu, upande wa pili wa wanasiasa ambao wamekaa mkao wa kusubiri ni nani atatangazwa hasa hasa wale wa chama tawala nauona kama ni mgumu zaidi hata ya mteuaji mwenyewe. Kwa nini nasema hivyo, ni kutokana na muda uliopita sasa toka Mh. Rais aingie Ikulu na kumteua Waziri Mkuu na takribani siku 33 sasa fumbo la baraza halijafumbuliwa!!!

Sasa ninachokiona ni kuwa jamaa watakuwa wanahaha hapa, huku na kule kuulizia ulizia kama jamaa amewakumbuka kila uchao. Hii ni kawaida kwa mwanadamu anapokuwa anasubiria jambo positive ambalo anadhani anaweza kuwa muathirika kwa namna moja ama nyingine lakini akalikosa.

Nadhani kama Mh. Rais anakuwa accessed kwa simu basi natumai simu zile za naomba uniteue ama za kuombewa fulani ateuliwe zitakuwa ni nyingi ama zimepungua kutokana na kasi ya mapacha watatu (Rais, Makamu na WM).

Ni tafakuri tu juu ya purukushani za kuteuliwa kuwa mmoja ya mawaziri wa serikali ya JPM.

Wewe unatafakuri ipi?

Wakatabahu

Kwani ameshamaliza kutumbua majipu?
 
Kwani wewe ulitaka mh. awe JPM..? au wewe ni miongoni
mwa mliokuwa mkinufaika na "prio information" za jikoni
kabla hazijawekwa bayana..? Hapa kazi tu, sisi tunafukuza
mwizi kimya haitaji mbwembwe nyingi.

NB:Kumbuka msafara wa Simba hauitaji escort.
 
Kwani wewe ulitaka mh. awe JPM..? au wewe ni miongoni
mwa mliokuwa mkinufaika na "prio information" za jikoni
kabla hazijawekwa bayana..? Hapa kazi tu, sisi tunafukuza
mwizi kimya haitaji mbwembwe nyingi.

NB:Kumbuka msafara wa Simba hauitaji escort.


Mkuu How is Hamburg?

Ninajaribu tu kufikria kimuhemuhe cha wateuliwa mkuu. Sina iterest yoyote na uteuzi wala kutaka kupata taarifa za awali.

Hilo tu.
 
Baraza siyo priority kwa sasa hivi, ngoja kwanza amalize kutumbua majipu mwenyewe halafu mje muweke mengine muisome namba

Wananchi wenyewe ndo kwanza hatuhitaji mawaziri
 
Salaam ndugu wana jamvi,

Naandika andiko hili kwa kujaribu tu kutafakari ni kwa namna gani Mh. Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli atakavyokuwa anahangaika kupanga safu ya kiutendaji katika kutimiza muhimili wa tatu wa serikali yaani Baraza la Mawaziri lakini wale wanaosubiri kuteuliwa wakiwa matumbo joto kubaini kama wamo ama la!!!.

Ninachokiona hapa ni kuwa wakati Mh. Rais akiendelea na zoezi hilo gumu, upande wa pili wa wanasiasa ambao wamekaa mkao wa kusubiri ni nani atatangazwa hasa hasa wale wa chama tawala nauona kama ni mgumu zaidi hata ya mteuaji mwenyewe. Kwa nini nasema hivyo, ni kutokana na muda uliopita sasa toka Mh. Rais aingie Ikulu na kumteua Waziri Mkuu na takribani siku 33 sasa fumbo la baraza halijafumbuliwa!!!

Sasa ninachokiona ni kuwa jamaa watakuwa wanahaha hapa, huku na kule kuulizia ulizia kama jamaa amewakumbuka kila uchao. Hii ni kawaida kwa mwanadamu anapokuwa anasubiria jambo positive ambalo anadhani anaweza kuwa muathirika kwa namna moja ama nyingine lakini akalikosa.

Nadhani kama Mh. Rais anakuwa accessed kwa simu basi natumai simu zile za naomba uniteue ama za kuombewa fulani ateuliwe zitakuwa ni nyingi ama zimepungua kutokana na kasi ya mapacha watatu (Rais, Makamu na WM).

Ni tafakuri tu juu ya purukushani za kuteuliwa kuwa mmoja ya mawaziri wa serikali ya JPM.

Wewe unatafakuri ipi?

Wakatabahu



Nimeisoma mada uliyoyoleta hapa jamvini. Inaelekea wewe ni kati ya wale wanaoamini kuteuliwa kuwa waziri ni KU-ULA vinginevyo usingekuwa unazungumzia lobbying na kuulizia ulizia. Inawezekana awamu zilizopita kuteuliwa uwaziri ilikuwa ni ku ula lakini kwa awamu hii elewa cheo ni utumishi na dhamana.
 
Nimeisoma mada uliyoyoleta hapa jamvini. Inaelekea wewe ni kati ya wale wanaoamini kuteuliwa kuwa waziri ni KU-ULA vinginevyo usingekuwa unazungumzia lobbying na kuulizia ulizia. Inawezekana awamu zilizopita kuteuliwa uwaziri ilikuwa ni ku ula lakini kwa awamu hii elewa cheo ni utumishi na dhamana.

Nadhani kama umetafakari hivyo basi ni sahihi. Maana ni dhahiri kuwa waliokuwa wakiteuliwa walipata nafasi za kuula/kuukwaa utajiri na kuutupa umaskini. Ni dhahiri. Sasa kama awamu hii kutakuwa na mabadiliko basi na mtazamo wa jamii ambayo hata wewe umo utabadilika.

Kuteuliwa kwa memo na uswahiba kwenye nafasi hizo mbona lilikuwa jambo la kawaida. Na pia hatuna uhakika kama jamaa mpya ataliepuka. Ni kuomba tu kile wasukuma wanaita "INGARAMO" itokee.
 
Back
Top Bottom