Chief Isike
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 445
- 462
Wakuu nafikiri kuna umuhimu wa kufanya tafakari juu ya picha ya front page ya Gazeti la Habari Leo (state or public media?) toleo la leo. kuna picha pale na maelezo (caption) yafuatayo;
Mwakilishi wa Televisheni ya Emmanuel ya The Synagogue Church Of All Nations, Martha Harvey akimkabidhi Rais Jakaya Kikwete mkoba wenye Sh. milioni 25 kwa ajili ya waathirika wa ajali ya Meli ya Mv Spice Islanders iliyozama na kusababisha vifo vya mamia ya watu hivi karibuni. Mchango huo ulikabidhiwa Ikulu, Dar es Salaam jana, ulitolewa na Kiongozi wa Kanisa hilo, Nabii Themitope Balogun Joshua, ambaye anaishi makao makuu ya kanisa hilo, Lagos, Nigeria (Picha na Freddy Maro)
Few concerns to start with in loud thinking/brainstorming
1. Kwa nini huo msaada umekabidhiwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Ikulu, kulikuw ana ulazima sana wa msaada huo kukabidhiwa kwa rais? Mbona tumeona misaada mingi tu imepelekwa kwa hao waathirika ama moja kwa moja au kupitia kwa viongozi wengine waandamizi na wasiokuwa waandamizi huko huko Zanzibar. Kwangu mimi hata kama huo msaada ungepelekwa Zanzibar si lazima (si sahihi) kuukubadihi Ikulu kwa Dkt. Shein. Hapa inatafutwa attention, Je ni ya kitu gani? Think loud. Je Rais anajua hilo?
2.Another thing very important to brainstorm too ni juu ya MTOAJI MSAADA. Jamani huyo si ndiye aliyetajwa kuwa amemtabiria na kumwombea Edward Lowassa kuwa rais wa nchi hii. Tena ikaelezwa kuwa waziri mkuu huyo wa zamani amemtembelea huyo kiongozi wa kanisa hilo huko Lagos, mapema mwaka huu I think. Huyo si ndiye alikuwa akizungumzwa katika kile kimemo cha B. Shellukindo kwenda kwa Pindi Chana? Tehe tehe tehe, so sasa ametuma msaada Tanzania na umepokelewa na rais. Tehe tehe tehe! What is he trying to introduce here, his influence or his church? Kwa mgongo wa Ikulu na Rais?
3. La mwisho kwangu, nalo la muhimu sana kujadili ni aina ya watu ambao Rais amekuwa akikutana nao Ikulu yetu. Wengi wamekuwa wakitumia nafasi hiyo kujitangaza hivyo kumtumia rais wetu na IKULU YETU kwa matangazo na manufaa yao binafsi zaidi. I remember one of the very recent disgusting event ni ile ambayo Nizar Khalfan akiwa amevaa jeans, tena mlegezo nyuma, very informal, aliruhusiwa kuingia Ikulu, akapiga picha na rais kwa mkutano rasmi eti akimkabidhi jezi anayochezea katika klabu yake huko aliko! Haya bwana. Kuna mengi ya kujadili I think
Mwakilishi wa Televisheni ya Emmanuel ya The Synagogue Church Of All Nations, Martha Harvey akimkabidhi Rais Jakaya Kikwete mkoba wenye Sh. milioni 25 kwa ajili ya waathirika wa ajali ya Meli ya Mv Spice Islanders iliyozama na kusababisha vifo vya mamia ya watu hivi karibuni. Mchango huo ulikabidhiwa Ikulu, Dar es Salaam jana, ulitolewa na Kiongozi wa Kanisa hilo, Nabii Themitope Balogun Joshua, ambaye anaishi makao makuu ya kanisa hilo, Lagos, Nigeria (Picha na Freddy Maro)
Few concerns to start with in loud thinking/brainstorming
1. Kwa nini huo msaada umekabidhiwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Ikulu, kulikuw ana ulazima sana wa msaada huo kukabidhiwa kwa rais? Mbona tumeona misaada mingi tu imepelekwa kwa hao waathirika ama moja kwa moja au kupitia kwa viongozi wengine waandamizi na wasiokuwa waandamizi huko huko Zanzibar. Kwangu mimi hata kama huo msaada ungepelekwa Zanzibar si lazima (si sahihi) kuukubadihi Ikulu kwa Dkt. Shein. Hapa inatafutwa attention, Je ni ya kitu gani? Think loud. Je Rais anajua hilo?
2.Another thing very important to brainstorm too ni juu ya MTOAJI MSAADA. Jamani huyo si ndiye aliyetajwa kuwa amemtabiria na kumwombea Edward Lowassa kuwa rais wa nchi hii. Tena ikaelezwa kuwa waziri mkuu huyo wa zamani amemtembelea huyo kiongozi wa kanisa hilo huko Lagos, mapema mwaka huu I think. Huyo si ndiye alikuwa akizungumzwa katika kile kimemo cha B. Shellukindo kwenda kwa Pindi Chana? Tehe tehe tehe, so sasa ametuma msaada Tanzania na umepokelewa na rais. Tehe tehe tehe! What is he trying to introduce here, his influence or his church? Kwa mgongo wa Ikulu na Rais?
3. La mwisho kwangu, nalo la muhimu sana kujadili ni aina ya watu ambao Rais amekuwa akikutana nao Ikulu yetu. Wengi wamekuwa wakitumia nafasi hiyo kujitangaza hivyo kumtumia rais wetu na IKULU YETU kwa matangazo na manufaa yao binafsi zaidi. I remember one of the very recent disgusting event ni ile ambayo Nizar Khalfan akiwa amevaa jeans, tena mlegezo nyuma, very informal, aliruhusiwa kuingia Ikulu, akapiga picha na rais kwa mkutano rasmi eti akimkabidhi jezi anayochezea katika klabu yake huko aliko! Haya bwana. Kuna mengi ya kujadili I think