Ndugu zangu watanzania,
Kwakweli Mungu ni mwema kwa ametupa siku ya leo tena.
Ndugu zangu, inapotekea vipindi kama hivi, watu wanatafuta kura, watatumia mbinu mbali mbali, hasa wale ambao wenye sera mfirisi. Nimejiuliza maswali kadhaa hivi:
Ushauri wangu kwa vyama kama hivi, wajikite kwenye sera tu, sisi wananchi tunawasikia, tutawapima, then tutafanya maamuzi October, 28, 2020.
Asante,
Nawasilisha,
Kejuu
Kwakweli Mungu ni mwema kwa ametupa siku ya leo tena.
Ndugu zangu, inapotekea vipindi kama hivi, watu wanatafuta kura, watatumia mbinu mbali mbali, hasa wale ambao wenye sera mfirisi. Nimejiuliza maswali kadhaa hivi:
- Je, ni kweli Chama Cha Mapinduzi (CCM), wachome moto ofisi ya chama cha siasa ili wajipatie kura?
- Kura zinatokana na kuchoma moto office ya chama cha siasa?
- Je, mnazijua vizuri huruka za wabunge wa majimbo ambako office hizo zimechomwa moto? Wengine si wako kwenye idala ya ujasusi wa vyama hivyo?
- Je, uwezekano wa kujichomea haupo pale kweli?
- Kwani haya matukio hayawezi kuwa na correlation na hili (
- Je, huu si mpango wa kuharibu taswira ya uchaguzi, ili matamko kama ya balozi fulani hivi kuwa na nguvu?
- Je, inakuaje mgombea fulani hivi anafanya dhiara mpaka usiku (
Ushauri wangu kwa vyama kama hivi, wajikite kwenye sera tu, sisi wananchi tunawasikia, tutawapima, then tutafanya maamuzi October, 28, 2020.
Asante,
Nawasilisha,
Kejuu