Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,734
- 6,292
- Thread starter
- #41
Mkosoe kwa namna nyingne na sio kuvua utu wa mtu hadharan what if angekuwa mzazi wako/shangazi/bibi/mama mdogo/ mama mkubwa? Futa hii comment mkuu
sure.
Mkosoe kama kwa nafasi yake ya Uraisi ama Public figure.
Haya mengine ni ya ndani, na si sahihi hata kikatiba