Tafakari yangu baada ya matokeo ya kidato cha pili

Apr 18, 2012
95
213
TAFAKARI YANGU BAADA YA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI....

ACHA NITENDEE HAKI TAALUMA YANGU

JE NI WAPI TUNAELEKEA??

necta-logo.png
Mfumo wa elimu ya Tanzania umekuwa ukibadilika kila siku, watatumia GPA wataacha, watatumia Wastani wataacha watatumia Division nayo pia wataiacha...
Ilimradi tuu watuchanganye watanzania kuwa kiwango cha ufaulu kimepanda

Awamu ya tatu, waziri wa elimu alikuwa akiwarudisha nyuma kidato cha pili ambao walikuwa wanapata Alama chini ya wastani wa 21, maana yake ili ufaulu kuendelea na darasa ilitakiwa uwe na maksi angalau kama ifuatavyo;-

Historia 21
Kiswahili. 21
Kingereza 21
Jiografia 21
Uraia 21
Fikikia 21
Kemia 21
Baiolojia 21
Hisabati 21

Ukipata

Historia 21
Kiswahili. 21
Kingereza 21
Jiografia 21
Uraia 21
Fikikia 21
Kemia 21
Baiolojia 21
Hisabati 20
Unarudia darasa kwa sababu hujafikisha wastani

Awamu ya tatu hiyo hiyo tulimpata waziri Mungai ambaye naye alibongonyoa elimu lakini katika Alama za ufaulu, ili uendelee kidato cha tatu ilitakiwa uwe umefaulu kama ifuatavyo:-

Historia 30
Kiswahili. 30
Kingereza 30
Jiografia 30
Uraia 30
Fikikia 30
Kemia 30
Baiolojia 30
Hisabati 30

Ukipata Alama zifuatazo unarudia darasa

Historia 30
Kiswahili. 30
Kingereza 30
Jiografia 30
Uraia 30
Fikikia 30
Kemia 30
Baiolojia 30
Hisabati 29

Sipendi kuendelea na mifano naomba moja kwa moja nije matokeo ya awamu hii ya Mzee wa hapa kazi tuu

Mwaka huu ili ufaulu uendelee kidato cha tatu inatakiwa uwe umepata Alama hizi

Historia 00
Kiswahili. 00
Kingereza 00
Jiografia 00
Uraia 00
Fikikia 00
Kemia 00
Baiolojia 30
Hisabati 30

Ili urudie darasa inatakiwa uwe umepata
Historia 00
Kiswahili. 00
Kingereza 00
Jiografia 00
Uraia 00
Fikikia 00
Kemia 00
Baiolojia 00
Hisabati 30

Afu tunaambiwa ufaulu umeongezeka kwa asilimia kadhaa....
Na wakati huo huo wanazibana shule binafsi ili zifanye madudu sawa na yao

Hapo ndo utakapogundua wale wabunge wanashabikia tuu ilimradi waingize siku, wale wanaowadekisha walimu madarasa, wanaoshusha wakuu wa shule kwa kukataa wanafunzi kuvaa sare za chama, kuwakamata wanaowakosoa..n.k

Takakari yangu
SOURCE:HOME OF INTELECTUALS-UDSM,UDOM,MZUMBE,SUA,SAUT,ARU,MAKUMIRA.
 
TAFAKARI YANGU BAADA YA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI....

ACHA NITENDEE HAKI TAALUMA YANGU

JE NI WAPI TUNAELEKEA??

Mfumo wa elimu ya Tanzania umekuwa ukibadilika kila siku, watatumia GPA wataacha, watatumia Wastani wataacha watatumia Division nayo pia wataiacha...
Ilimradi tuu watuchanganye watanzania kuwa kiwango cha ufaulu kimepanda

Awamu ya tatu, waziri wa elimu alikuwa akiwarudisha nyuma kidato cha pili ambao walikuwa wanapata Alama chini ya wastani wa 21, maana yake ili ufaulu kuendelea na darasa ilitakiwa uwe na maksi angalau kama ifuatavyo;-

Historia 21
Kiswahili. 21
Kingereza 21
Jiografia 21
Uraia 21
Fizikia 21
Kemia 21
Baiolojia 21
Hisabati 21

Ukipata

Historia 21
Kiswahili. 21
Kingereza 21
Jiografia 21
Uraia 21
Fizikia 21
Kemia 21
Baiolojia 21
Hisabati 20
Unarudia darasa kwa sababu hujafikisha wastani

Awamu ya tatu hiyo hiyo tulimpata waziri Mungai ambaye naye alibongonyoa elimu lakini katika Alama za ufaulu, ili uendelee kidato cha tatu ilitakiwa uwe umefaulu kama ifuatavyo:-

Historia 30
Kiswahili. 30
Kingereza 30
Jiografia 30
Uraia 30
Fizikia 30
Kemia 30
Baiolojia 30
Hisabati 30

Ukipata Alama zifuatazo unarudia darasa

Historia 30
Kiswahili. 30
Kingereza 30
Jiografia 30
Uraia 30
Fizikia 30
Kemia 30
Baiolojia 30
Hisabati 29

Sipendi kuendelea na mifano naomba moja kwa moja nije matokeo ya awamu hii

Mwaka huu ili ufaulu uendelee kidato cha tatu inatakiwa uwe umepata Alama hizi

Historia 00
Kiswahili. 00
Kingereza 00
Jiografia 00
Uraia 00
Fizikia 00
Kemia 00
Baiolojia 30
Hisabati 30

Ili urudie darasa inatakiwa uwe umepata
Historia 00
Kiswahili. 00
Kingereza 00
Jiografia 00
Uraia 00
Fizikia 00
Kemia 00
Baiolojia 00
Hisabati 30

Afu tunaambiwa ufaulu umeongezeka kwa asilimia kadhaa....
Na wakati huo huo wanazibana shule binafsi ili zifanye madudu sawa na yao

Hapo ndo utakapogundua wale wabunge wanashabikia tuu ilimradi waingize siku, wale wanaowadekisha walimu madarasa, wanaoshusha wakuu wa shule kwa kukataa wanafunzi kuvaa sare za chama, kuwakamata wanaowakosoa..n.k

Credit kwa Mwl Mchomvu Kienja toka group la walimu facebook kwa uandishi wa hii makala
 
Kumbe umeshaleta post yako huku mkuu maana niliicopy nkaipost na kukupa credit zako kumbe ushaileta pia
 
Sawa kienja! Naona unaitendea haki elimu yako uliyopata duce.....
hongera kwa uchambuzi mzuri
 
hatar mtupu babaake. ko wamefel af wakat uo uo wamefaulu. m naamn uyu jamaa anapigilia msumal wa mwsho kwenye jeneza la elim, mara elm bure, mara matokeo fek nk
 
Nilitaka kupost hii thread kaka wewe ni GT ELIMU yetu inachezewa sana na wajinga wachache, wanafikiri watanzania wote ni WAP****vu, ndalichako ajiuzuru maana anafanya maigizo tu!!
 
Afadhali umesema kweli nawe utabaki huru, acha Ndali ajishushie heshima yake kwa kuikumbatia siasa.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom