Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Wakijenga shule hawaingilii wizara ya elimu;
Wakijenga hospitali hawaingilii wizara ya afya;
Wakijenga kisima cha maji hawaingilii wizara ya maji.
Wakiombea mvua hawaingilii mamlaka ya hali ya hewa.
Wakihimiza kilimo hawaingilii wizara ya kilimo.
Wakitoa msaada wa dawa kwa mgonjwa, wanapongezwa.
Wakihoji kwa nini hakuna dawa hospitali, wanaambiwa wanachanganya dini na siasa.
Wakikosoa mfumo wa kisiasa, wanaambiwa wanaingilia siasa!!
Kuna kitu hakiendi sawa.
Wakijenga hospitali hawaingilii wizara ya afya;
Wakijenga kisima cha maji hawaingilii wizara ya maji.
Wakiombea mvua hawaingilii mamlaka ya hali ya hewa.
Wakihimiza kilimo hawaingilii wizara ya kilimo.
Wakitoa msaada wa dawa kwa mgonjwa, wanapongezwa.
Wakihoji kwa nini hakuna dawa hospitali, wanaambiwa wanachanganya dini na siasa.
Wakikosoa mfumo wa kisiasa, wanaambiwa wanaingilia siasa!!
Kuna kitu hakiendi sawa.