Najaribu kutafakari kwa nini DRC katika miaka ya 2000 haijatoa wanamuziki nguli wa kike kama ilivyokua miaka ya 80 na 90 ambspo wanamuziki wengi wa kike walitamba kama akina Mbilia Bell. Tshala Mwana, Yondi Sister n.k. kwa nini sasa hivi wanawake hawasikiki tena?