MANAKE MKARI
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 281
- 211
Wekeni na floor plan/rough sketch na picha ya hizo nyumba kuona zilivyo wa wale wasio Dar es salaam? Au ni maalumu kwa wana Dar tu????
Hatutaki hiyo option yao kwanza bei kubwa sana,pili malipo mara 3 ya bei uliokopea,tunataka pesa zetu tutajenga wenyewe!!
Kuna mijinga itakimbilia kununuaF.ck them all!
Kwa hiyo unaishia kulipa pesa mara 3 zaidi ya uliyokopa!!
Wekeni na floor plan/rough sketch na picha ya hizo nyumba kuona zilivyo wa wale wasio Dar es salaam? Au ni maalumu kwa wana Dar tu????
hizo nyumba zina Bluetooth?
- :flypig:
PICHA YA NINI WAKATI HAKUNA MFANYAKAZI ANAE PATA MSHara wa halali aneweza lipa hio pesa interest peke yake ni million 223 jumlisha na mkopo wa m 68 ni m 291 kwa bed room 2 .
unaweza jenga yako kwa m 40 bila mikwaruzo
Ama kweli kifo cha nyani.......yaan serikali yetu ni kama imeazimwa nje kuja kutenda kazi za ndani............nyumba ya vyumba viwili 68M na interest juuu???????
Haya bana mmeeleweka
Ngoja! Have these houses been constructed already or they are in the process of being constructed. Information that I had was NSSF in association with a private firm (which is to introduce prefab hi-tech in the development) was still contemplating pursuing the project!
The stats are shocking - if only one could avail himself Tshs 68m today and invest in this kind of venture, from this stat, you would earn a threefold of the principal sum, if you aimed down to less than 200m then after 1 and half years 99% interest compounded - (i.e 68 x (1.99^1.5))= 190m!
And the big question would be whether property values are likely to change at such a rate and the evidence is NONE! Between 2005 and 2012 property values in the popular residential districts of Dar such as Kijitonyama and Mikocheni have changed at an average of not more than 12% per annum- such that whereas you could buy a house in Knyama at around Tshs 50m in 2005, that same house would probably cost you today around Tshs 110m. If you take the NSSF scenario, a low income earner would immediately become richer as the house purchased will have appreciated by over 100% compounded in less than 2 years! Oh WHAT NICE WAYS OF EMPOWERING THE POOR!
Ama kweli kifo cha nyani.......yaan serikali yetu ni kama imeazimwa nje kuja kutenda kazi za ndani............nyumba ya vyumba viwili 68M na interest juuu???????
Haya bana mmeeleweka