Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Huyu kijana aliwahi kufunga geti ya wizara kudhibiti wachelewaji akawadhalilisha watendaji wa afya bila kuwasikiliza walikuwa na matatizo gani makwao.
Aliwahi mdhalilisha mzee mmoja Askari tena kwenye mahafali natumai mbele ya familia yake kisa amekosa ukakamavu wa kiaskari. Amewahi kuwadhalilisha wananchi kwenye operesheni za misitu na hifadhi akiwa na kombati Kama Askari kabisa. Aliwahi mtunishia misuli Katibu Mkuu wa wizara yake.
Leo hii inabainika alikuwa anapiga piga na helkopta ya umma na kutumia mafuta ya umma huku akilipwa. Inabainika alitumia vibaya fedha za umma kulipa wasanii.
Alistahili zaidi ya kunyimwa uwaziri, alipaswa kufika Kisutu sema ndo hivyo ni mkubwa.
Aliwahi mdhalilisha mzee mmoja Askari tena kwenye mahafali natumai mbele ya familia yake kisa amekosa ukakamavu wa kiaskari. Amewahi kuwadhalilisha wananchi kwenye operesheni za misitu na hifadhi akiwa na kombati Kama Askari kabisa. Aliwahi mtunishia misuli Katibu Mkuu wa wizara yake.
Leo hii inabainika alikuwa anapiga piga na helkopta ya umma na kutumia mafuta ya umma huku akilipwa. Inabainika alitumia vibaya fedha za umma kulipa wasanii.
Alistahili zaidi ya kunyimwa uwaziri, alipaswa kufika Kisutu sema ndo hivyo ni mkubwa.