Kingsharon92 JF-Expert Member Aug 10, 2015 7,553 9,530 Jul 14, 2016 #2 Ngoja nikae kimya nisije nikawekwa nyuma ya kalenda bure
Mwabhleja JF-Expert Member Jan 27, 2016 1,351 2,058 Jul 14, 2016 #4 Tukianza Kulipia Pumzi Bila Shaka Itakuwa Vigumu Hata Kwa Wafuga Mbwa Kupiga Miluzi. Tatizo La Tanganyika Ni Pale Zinapokuwa Nyingi Wakati Huo Huo Deni La Taifa Likiongezeka
Tukianza Kulipia Pumzi Bila Shaka Itakuwa Vigumu Hata Kwa Wafuga Mbwa Kupiga Miluzi. Tatizo La Tanganyika Ni Pale Zinapokuwa Nyingi Wakati Huo Huo Deni La Taifa Likiongezeka
Pancras Suday JF-Expert Member Jun 24, 2011 8,143 3,830 Jul 14, 2016 #5 Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha, mbona wengine tushajipanga kulipia