Tafakari ewe Dada

Love Doctor

JF-Expert Member
Jun 28, 2016
721
780
Kutoka kwa Abuu Abdillah

Tafakari
Tafakari ewe Dada yangu hakika wengi katika wanawake wa sasa wanakosea sehemu kubwa kwa kudhani kwamba urembo wake au umbo lake ndo linamfanya apate mume bora huku akisahau kwamba uzuri wa ndege si mabawa

Kwa sababu wachafu wengi huvaa nguo safi
Kila siku umekuwa wa kupost jinsi unavyojua kuonyesha maungo yako kana kwamba unatangaza biashara Mwanaume si mjinga atakupa hata gari akutumie mda wake ukiisha atakuacha

Hata akakusifia kwa sifa zisizo kifani lakin hakutamfanya abaki na ww siku zote
Unapotaka kutuonyesha makalio yako tafakari kwamba tutakusifia umependeza umrembo lakini moyoni tutakudharau

Chunga sana picha pia ni ujumbe unapotuma tafakari.
Uzuri wa mwanamke katika kitanda haukufanyi mwanaume aweze kuishi na ww siku zote
Lakini ukiwa mtamu katika tabia mwanaume Atadumu na ww mpk milele

Ikikugusa badilika kwa sababu hata Mimi nataka ubadilike
 
shule za msingi zimefungwa mwezi wa sita huu
Shoga Wee acha tu kuanzia primary to advanced level wote wapo likizo basi tabu tupu.... Ndomana sometimes ukilogin jf everything is just boring... Unakuta mada zile zile za tangu majuziiiii mada mpya hovyo hovyo tu yani everything hovyo hovyo hovyooooo


Cc Smart911
 
Acha kutupigia kelele kwan kuna alikuja kukuambia anataka umuowe ebu tuwache na maisha yetu we kimbele mbele sana we kaka
Tabia nyingine ni hii, kutwa mnashinda mitandaoni kujifanya wakali pale mnapoambiwa ukweli.
Na hata wachumba pia huwa mnawajibu kwa ukali kama hivi ndiyo maana wanawakimbia.
Kwanza wengi mliopo jf wengi wenu mna matumbo makubwa sana kwa tafiti tulizowafanyia.........
 
Tabia nyingine ni hii, kutwa mnashinda mitandaoni kujifanya wakali pale mnapoambiwa ukweli.
Na hata wachumba pia huwa mnawajibu kwa ukali kama hivi ndiyo maana wanawakimbia.
Kwanza wengi mliopo jf wengi wenu mna matumbo makubwa sana kwa tafiti tulizowafanyia.........
Hao wanaume wanaolia kutwa kucha wameachwa na wapenzi wao nao hawana mapungufu kila shetan na mbuyu wake ukisema cha nn wengne wanasema nitampata lini ukisusa wegne wanakula hata makomboo upoooo
 
Hao wanaume wanaolia kutwa kucha wameachwa na wapenzi wao nao hawana mapungufu kila shetan na mbuyu wake ukisema cha nn wengne wanasema nitampata lini ukisusa wegne wanakula hata makomboo upoooo
Mpe huyooooo super model
Tabia nyingine ni hii, kutwa mnashinda mitandaoni kujifanya wakali pale mnapoambiwa ukweli.
Na hata wachumba pia huwa mnawajibu kwa ukali kama hivi ndiyo maana wanawakimbia.
Kwanza wengi mliopo jf wengi wenu mna matumbo makubwa sana kwa tafiti tulizowafanyia.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom