Tafadhari usipite, bila kunishauri.

Fall Army Worm

JF-Expert Member
Jan 8, 2015
19,332
14,255
Wakubwa shikamoooooo !!, wa rika langu habari za jioni ??, ninaowazidi marhaba wakuu ni kwamba nimenunua kiwanja kama nusu ekari karibu na hospitali ya mkoa huko kwetu Njombe, Sasa nipeni ushauri ,hivi ni biashara ipi inaweza kunilipa nikianzisha ???. karibuni wakubwa.
 
1. Jenga mochuari ya kisasa pia uwe unauza majeneza na kuwa na gari ya kubebea maiti.
2. Ukihisi hiyo ya kwanza inakuwa ngumu, jenga restaurant nzuri ambayo utakuwa na huduma maalumu ya kupika chakula cha wagonjwa

Ila hiyo ya kwanza utapiga pesa mpaka utakimbia mwenyewe
 
1. Jenga mochuari ya kisasa pia uwe unauza majeneza na kuwa na gari ya kubebea maiti.
2. Ukihisi hiyo ya kwanza inakuwa ngumu, jenga restaurant nzuri ambayo utakuwa na huduma maalumu ya kupika chakula cha wagonjwa

Ila hiyo ya kwanza utapiga pesa mpaka utakimbia mwenyewe
I second this
 
1. Jenga mochuari ya kisasa pia uwe unauza majeneza na kuwa na gari ya kubebea maiti.
2. Ukihisi hiyo ya kwanza inakuwa ngumu, jenga restaurant nzuri ambayo utakuwa na huduma maalumu ya kupika chakula cha wagonjwa

Ila hiyo ya kwanza utapiga pesa mpaka utakimbia mwenyewe
Duh!!, hiyo ya kwanza umenitisha, ninavyoogopa hizo kitu. Labda nijaribu hiyo ya pili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom