Tafadhali zingatia vigezo hivi unapoanzisha mada ya kutafuta Mke/Mume

Mizaha imezidi sana kwenye hii. Watu wengi ni wababaishaji! Ingekuwa vyema kama kungekuwa na utenganisho kuzingatia umri wa mwombaji au mtafutaji. Mods tunaomba jukwaa la watu wazima ' Umri iwe kigezo' Kuna wajane wagane oops sijui kama kuna kitu wagane(mwanaume aliyepoteza mke anaitwaje) Wengi wanakuwa stigmatized kwa Kufiwa. Nawaza tu!
 
Mizaha imezidi sana kwenye hii. Watu wengi ni wababaishaji! Ingekuwa vyema kama kungekuwa na utenganisho kuzingatia umri wa mwombaji au mtafutaji. Mods tunaomba jukwaa la watu wazima ' Umri iwe kigezo' Kuna wajane wagane oops sijui kama kuna kitu wagane(mwanaume aliyepoteza mke anaitwaje) Wengi wanakuwa stigmatized kwa Kufiwa. Nawaza tu!
 
Ninashwari,wanawake hupenda kuwajua sana waume au wapenzi .je dhumuni lao ni jema kama tunavyodhani? Kama ndio kwa nini? Na kama sio pia ni kwanini?
 
Habari WanaJF,

Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu tabia ya baadhi ya wanachama kufanya mzaha kwa watu wanaotafuta wenza wa maisha kwenye jukwaa hili la LOVE CONNECT.

Tunashauri Jukwaa hili litumiwe kwa malengo kusudiwa. Mtu mzima hapangwi.

Kwa wanaotafuta wenza, tunawakumbusha kuzingatia dondoo zifuatazo;

Dondoo za kuzingatia kabla hujatuma ombi la kutafuta mwenza:
  1. Eleza sifa za unayemuhitaji za nje na ndani, zikihusisha vitu kama umri, umbo, dini, upendavyo (walau hints), kazi na hata uraia.
  2. Hakikisha hizo sifa ulizotaja za unayemuhitaji na wewe pia umeainisha zako.
  3. Kama mwenye sifa unazohitaji yupo JF, tafadhali mtumie ujumbe binafsi (PM).
  4. Toa contacts walau e-mail address na sio mawasiliano ya namba za simu.
- Na mengineyo ya muhimu.

View attachment 348427

asante kwa ushauri wako ..mfano mzuri wasome ombi la kaka mindpower alijielezea vyema kwa kweli ...mim nangojea mrejesho kutoka kwake amefanikiwa kumpata aliyekluwa namuhitaji?...wanaitafuta wanaweza pitia kwenye thread yake kama mwongozo....
 
Habari WanaJF,

Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu tabia ya baadhi ya wanachama kufanya mzaha kwa watu wanaotafuta wenza wa maisha kwenye jukwaa hili la LOVE CONNECT.

Tunashauri Jukwaa hili litumiwe kwa malengo kusudiwa. Mtu mzima hapangwi.

Kwa wanaotafuta wenza, tunawakumbusha kuzingatia dondoo zifuatazo;

Dondoo za kuzingatia kabla hujatuma ombi la kutafuta mwenza:
  1. Eleza sifa za unayemuhitaji za nje na ndani, zikihusisha vitu kama umri, umbo, dini, upendavyo (walau hints), kazi na hata uraia.
  2. Hakikisha hizo sifa ulizotaja za unayemuhitaji na wewe pia umeainisha zako.
  3. Kama mwenye sifa unazohitaji yupo JF, tafadhali mtumie ujumbe binafsi (PM).
  4. Toa contacts walau e-mail address na sio mawasiliano ya namba za simu.
- Na mengineyo ya muhimu.

View attachment 348427
safi sana

Sent from my TECNO F5 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom