Team mafisi
Senior Member
- Nov 14, 2016
- 138
- 144
JamiiForums niunganisheni jukwaa la wakubwa jamani
muulize jamii forumKWA hyo muda gan ndo sahh
hawaknambiamuulize jamii forum
na utakuwa kuna na 7bu walikupa za kufuta uzi wako.
muite umuulize hapa.hawaknambia
Mkuu vp walishakuunganusha jukwaa la wakubwa?, kama ndio ulifanyaje had I wakakuunhanisha maana na mm unahitaji kujiunga ila sielewi processJamiiForums niunganisheni jukwaa la wakubwa jamani
Mizaha imezidi sana kwenye hii. Watu wengi ni wababaishaji! Ingekuwa vyema kama kungekuwa na utenganisho kuzingatia umri wa mwombaji au mtafutaji. Mods tunaomba jukwaa la watu wazima ' Umri iwe kigezo' Kuna wajane wagane oops sijui kama kuna kitu wagane(mwanaume aliyepoteza mke anaitwaje) Wengi wanakuwa stigmatized kwa Kufiwa. Nawaza tu!
1.Nani kafanikiwa kupata mwenza?
Mie hollah?
We umeambiwa usiweke no za cmnilitafuta mchumba bado sijampata anayejiiheshimu mpole anipigie 0629837251
Habari WanaJF,
Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu tabia ya baadhi ya wanachama kufanya mzaha kwa watu wanaotafuta wenza wa maisha kwenye jukwaa hili la LOVE CONNECT.
Tunashauri Jukwaa hili litumiwe kwa malengo kusudiwa. Mtu mzima hapangwi.
Kwa wanaotafuta wenza, tunawakumbusha kuzingatia dondoo zifuatazo;
Dondoo za kuzingatia kabla hujatuma ombi la kutafuta mwenza:
- Na mengineyo ya muhimu.
- Eleza sifa za unayemuhitaji za nje na ndani, zikihusisha vitu kama umri, umbo, dini, upendavyo (walau hints), kazi na hata uraia.
- Hakikisha hizo sifa ulizotaja za unayemuhitaji na wewe pia umeainisha zako.
- Kama mwenye sifa unazohitaji yupo JF, tafadhali mtumie ujumbe binafsi (PM).
- Toa contacts walau e-mail address na sio mawasiliano ya namba za simu.
View attachment 348427
safi sanaHabari WanaJF,
Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu tabia ya baadhi ya wanachama kufanya mzaha kwa watu wanaotafuta wenza wa maisha kwenye jukwaa hili la LOVE CONNECT.
Tunashauri Jukwaa hili litumiwe kwa malengo kusudiwa. Mtu mzima hapangwi.
Kwa wanaotafuta wenza, tunawakumbusha kuzingatia dondoo zifuatazo;
Dondoo za kuzingatia kabla hujatuma ombi la kutafuta mwenza:
- Na mengineyo ya muhimu.
- Eleza sifa za unayemuhitaji za nje na ndani, zikihusisha vitu kama umri, umbo, dini, upendavyo (walau hints), kazi na hata uraia.
- Hakikisha hizo sifa ulizotaja za unayemuhitaji na wewe pia umeainisha zako.
- Kama mwenye sifa unazohitaji yupo JF, tafadhali mtumie ujumbe binafsi (PM).
- Toa contacts walau e-mail address na sio mawasiliano ya namba za simu.
View attachment 348427