MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,734
Mtanzania wa Kwanza kaamua Kuitangaza Tanzania katika Shati lake Kubwa, zuri na lililobuniwa vyema kwa Kuandika Maandishi makubwa ya VISIT TANZANIA.
Mtanzania wa Pili kwa Akili zake anazozijua Yeye kaamua Kumuiga wa Kwanza kwa Kuandika mkononi mwa Shati lake Baya na Bovu ( tena kwa Maandishi Madogo ) kuwa visit Kilimanjaro and Zanzibar.
Hivi kumbe ukitembelea Tanzania kama Mtalii huwezi Kuzikuta hizo Kilimanjaro na Zanzibar?
Je, unapomwambia Mtu ( Mtalii ) kuwa atembelee tu Kilimanjaro na Zanzibar hapa unakuwa Umeitangaza nchi ya Tanzania kwa Ukubwa na Umuhimu wake au labda Yule aliyewaambieni Wageni kuwa Wakaribie Tanzania ndiyo ameonyesha Jambo la Tija na ndiyo anastahili Pongezi?
Mightier ninasubiri Majibu yenu Wadau.
Mtanzania wa Pili kwa Akili zake anazozijua Yeye kaamua Kumuiga wa Kwanza kwa Kuandika mkononi mwa Shati lake Baya na Bovu ( tena kwa Maandishi Madogo ) kuwa visit Kilimanjaro and Zanzibar.
Hivi kumbe ukitembelea Tanzania kama Mtalii huwezi Kuzikuta hizo Kilimanjaro na Zanzibar?
Je, unapomwambia Mtu ( Mtalii ) kuwa atembelee tu Kilimanjaro na Zanzibar hapa unakuwa Umeitangaza nchi ya Tanzania kwa Ukubwa na Umuhimu wake au labda Yule aliyewaambieni Wageni kuwa Wakaribie Tanzania ndiyo ameonyesha Jambo la Tija na ndiyo anastahili Pongezi?
Mightier ninasubiri Majibu yenu Wadau.