Tafadhali tusaidiane kupima Akili za hawa Watanzania Wawili ili tujue nani ni Mwerevu sana na nani ni Kilaza mno

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,734
Mtanzania wa Kwanza kaamua Kuitangaza Tanzania katika Shati lake Kubwa, zuri na lililobuniwa vyema kwa Kuandika Maandishi makubwa ya VISIT TANZANIA.

Mtanzania wa Pili kwa Akili zake anazozijua Yeye kaamua Kumuiga wa Kwanza kwa Kuandika mkononi mwa Shati lake Baya na Bovu ( tena kwa Maandishi Madogo ) kuwa visit Kilimanjaro and Zanzibar.

Hivi kumbe ukitembelea Tanzania kama Mtalii huwezi Kuzikuta hizo Kilimanjaro na Zanzibar?

Je, unapomwambia Mtu ( Mtalii ) kuwa atembelee tu Kilimanjaro na Zanzibar hapa unakuwa Umeitangaza nchi ya Tanzania kwa Ukubwa na Umuhimu wake au labda Yule aliyewaambieni Wageni kuwa Wakaribie Tanzania ndiyo ameonyesha Jambo la Tija na ndiyo anastahili Pongezi?

Mightier ninasubiri Majibu yenu Wadau.
 
Mtanzania wa Kwanza kaamua Kuitangaza Tanzania katika Shati lake Kubwa, zuri na lililobuniwa vyema kwa Kuandika Maandishi makubwa ya VISIT TANZANIA.

Mtanzania wa Pili kwa Akili zake anazozijua Yeye kaamua Kumuiga wa Kwanza kwa Kuandika mkononi mwa Shati lake Baya na Bovu ( tena kwa Maandishi Madogo ) kuwa visit Kilimanjaro and Zanzibar.

Hivi kumbe ukitembelea Tanzania kama Mtalii huwezi Kuzikuta hizo Kilimanjaro na Zanzibar?

Je, unapomwambia Mtu ( Mtalii ) kuwa atembelee tu Kilimanjaro na Zanzibar hapa unakuwa Umeitangaza nchi ya Tanzania kwa Ukubwa na Umuhimu wake au labda Yule aliyewaambieni Wageni kuwa Wakaribie Tanzania ndiyo ameonyesha Jambo la Tija na ndiyo anastahili Pongezi?

Mightier ninasubiri Majibu yenu Wadau.
Picha tafadhali
 
Tangu Yanga ikatae kinembo cha Wadhamini wa Ligi Kuu Vodacom kipindi cha nyuma kisa kina alama nyekundu,nikatambua wana wafanya maamuzi wa hovyo kupata kutokea..
voda-logo-data.jpg


View attachment 1942042
 
Ila Yanga ina viongozi wajanja wajanja sana,ila sema mashabiki wao mazwazwa haina shida,ni pipa na mfuniko!
 
Mo tuliza ball,vp kama wameuza nafasi ya matangazo kipande cha mkononi kwa wadau wa utalii mkoa wa Kilimanjaro kwanini wahangaike kuiweka Tanzania yote?
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom