Umetoa/Umekikuta wapi!?Habari wana jamvi,
Tafadhali naombeni msaada wa kutambua kitu hiki na matumizi yake. Ukikishika kipo kama sponji.
Asanteni
View attachment 753909View attachment 753910View attachment 753911
Cha kwanza kinaitwa beautyblender..maalum kwa kupakia foundation au hata powderHabari wana jamvi,
Tafadhali naombeni msaada wa kutambua kitu hiki na matumizi yake. Ukikishika kipo kama sponji.
Asanteni
View attachment 753909View attachment 753910View attachment 753911
Both!Kisaidizi cha nin? Kuongeza hips au matako?
Utapata tabu sana bas! PoleeeeeNo mimi sitaki mtu ajifek fek
Anajua kama umepekua pochi yake? Kesi hiyoNimekuta kwenye mkoba wa mwanamke
Jaman hicho ni kwa ajili ya kupakia foundation vipo design na size tofauti..usimhisi vibaya anapenda urembo tu