Luiz sio underdog brazaNamsupport Luiz coz naamini kwe underdogs people champion, ila namkubali Joshua ni mpambanaji na ana discipline ya mchezo. Ndo yale unaipenda Simba halafu unaBet Yanga. Matokeo yoyote kwako shangwe tu ah ah mzee Genta, naomba usiniite popoma ah ah.
Mkuu Genta unakuwaga na hoja za msingi sana ila muda wote huwa najiuliza ni kweli huwezi kujibu hoja kwa hoja mpaka utukane? Au ndio style ya ku deal na mapopoma?