The Dude
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 1,029
- 453
Habari zenu jamani!<br />
Ni faraja kujiunga nanyi kuanzia leo.Nimekuwa nikipita humu mara kwa mara.JF imetokea kuwa eneo la kuainisha changamoto,kuongeza ufahamu,kuchochea kufikiri,udadisi na kufahamu mawazo tofauti yaliyopo.<br />
<br />
Mimi ni kijana wa kiume,ni mtanzania,niko Tanzania.Naomba mnipokee.Majukwaa ninayoyapenda zaidi ni siasa,elimu na sheria.<br />
Akhsanteni.
Ni faraja kujiunga nanyi kuanzia leo.Nimekuwa nikipita humu mara kwa mara.JF imetokea kuwa eneo la kuainisha changamoto,kuongeza ufahamu,kuchochea kufikiri,udadisi na kufahamu mawazo tofauti yaliyopo.<br />
<br />
Mimi ni kijana wa kiume,ni mtanzania,niko Tanzania.Naomba mnipokee.Majukwaa ninayoyapenda zaidi ni siasa,elimu na sheria.<br />
Akhsanteni.