Yohana Daniel
Member
- Mar 18, 2018
- 55
- 23
Habari za saa hivi wapendwa wanajamii forum natumai wengi wetu ni wazima wa Afya
Niende moja kwa moja kwenye mada husika, siku za hivi karibuni nimetoka kufungua account bank ya crdb na nilifanikiwa kufungua account ila wamenipa ATM card imeandikwa union pay.
Naomba kujua matumizi ya union pay na faida zake na zipi tofauti na zingine kama Master card na visa card in details anaejua please.
Niende moja kwa moja kwenye mada husika, siku za hivi karibuni nimetoka kufungua account bank ya crdb na nilifanikiwa kufungua account ila wamenipa ATM card imeandikwa union pay.
Naomba kujua matumizi ya union pay na faida zake na zipi tofauti na zingine kama Master card na visa card in details anaejua please.