Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,591
ngoja wanaojua waje
see.Mkuu Acha kurahisisha,Hawa watu wanakela,I have the same story,Kuna baba mdogo alikabidhiwa nyumba ya baba ambayo Ina ofa ya hati miliki, kwa kumdharau baba eti Ni mlevi akakatalia pale home maana baba alikuwa mtumishi sehemu tofauti na pale ilipo nyumba na jamaa ameishi Sana pale Hadi akawa Kama mmiliki,sasa ilipofika muda wa kumuondoa ikawa ngumu,jamaa amejenga na kuboresha Sana pale nyumbani.
Tumemfuata Mara nyingi Sana kuwa ahame pale hataki anatuambia twende mahakamani,kitu alichojichanga mzee alimkabidhi ofa ya kiwanja,sasa ikawa ngumu kupata pa kuanza,tukichokifanya tulienda ofisi za ardhi kufuatilia tukakuta bado kiwanja kinasoma jina la mzee hivyo ikabidi tuingie gharama ya kupata hati miliki maana kiwanja kilikuwa na hati ya ofa tu.Baada ya kuipata tukamfuata jamaa akakataa,kilichofuata Ni kwenda Baraza la ardhi la wilaya kufungua kesi ya kumfukuza,jamaa katika utetezi wake kaleta hati ya kufoji yenye jina lake,Hadi sasa kesi bado inaendelea,hebu niambie kesi ikiisha utakubali kufanya maelewano na mtu Kama huyu?
Kiutu baba hakuwa na shida,alikuwa tayari kumfikiria huyu baba mdogo japo kiasi kidogo Cha fedha ili kufidia gharama zake .
Walimwengu wabaya Sana mkuu.
Sasa hivi risasi tz zimekuwa kitu cha mchezo mchezo tuRisasi zikafuatia baadae.
Ona huyu, kama huna kiwanja , huwezi jua thamani yake.Sasa nae huyo mwalimu mtu ameshajenga hadi nyumba why asingekaa nae chini wayajenge?!
Maana unaweza taka mtu abomoe nyumba ambayo kajenga kwa shida then wewe ukapata eneo lako then yule mtu inakuwaje, pengine ametapeliwa?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba ilijengwa siku moja??Mwenye nyumba alivamia kiwanja cha huyo mwalimu. Kesi ikaenda mahakamani. Mwenyenyumba akashindwa. Ikaamuliwa nyumba ibomolewe. Akamwomba mwalimu amuuzie. Mwalimu akakataa.
Risasi zikafuatia baadae.
Na hapo ndo huwa mambo yanaanzia...Unaweza kuta walileteana ubabe, Makasirikiano, madharau, mavutano...Wakapelekana Mahakamani, huko ikawa Chui na paka...Mmoja akashinda, alivyoshinda na yeye akawa mbogo, hakutaka kusikia kitu, maana anaweza kuwa alikumbuka matambo ya aliyejenga...basi Tafraji....akaona asimsamee kwa kumuuzia sasa, kama mbwai na iwe mbwai.Labda mahusiano yao kabla, wakati na baada ya kesi yalikua halijojo sana. Na si ajabu hata huko kuomba kuuziwa ni kishari na majibu yakatoka kishari vilevile.
Ngoja tusubiri wanaolijua hili sakata watujuze.
Kwa kweli wavamizi wa ardhi wanaleta sana! Ila sasa kama wamefikia mahali wameamua kutupiga risasi hii ni changamoto sasa! Hata mimi napambana na kesi ya maamuzi kavamia ardhi yangu ambayo ina hati milki ya miaka 33. Eti kauziwa na mtu ambaye anakimliki hicho kiwanja kwa mdomo yaani bila hata aibu eti anaukizwa kiwanja wala hakuna documents za serikali ya mtaa wala ofisi ya ardhi. Akapeleka kesi baraza la ardhi, hakimu mamamake eti anakuja kutoa hukumu eti kiwanja nilikipata kwa rushwa! Sasa kesi iko mahakama kuu!Mkuu Acha kurahisisha,Hawa watu wanakela,I have the same story,Kuna baba mdogo alikabidhiwa nyumba ya baba ambayo Ina ofa ya hati miliki, kwa kumdharau baba eti Ni mlevi akakatalia pale home maana baba alikuwa mtumishi sehemu tofauti na pale ilipo nyumba na jamaa ameishi Sana pale Hadi akawa Kama mmiliki,sasa ilipofika muda wa kumuondoa ikawa ngumu,jamaa amejenga na kuboresha Sana pale nyumbani.
Tumemfuata Mara nyingi Sana kuwa ahame pale hataki anatuambia twende mahakamani,kitu alichojichanga mzee alimkabidhi ofa ya kiwanja,sasa ikawa ngumu kupata pa kuanza,tukichokifanya tulienda ofisi za ardhi kufuatilia tukakuta bado kiwanja kinasoma jina la mzee hivyo ikabidi tuingie gharama ya kupata hati miliki maana kiwanja kilikuwa na hati ya ofa tu.Baada ya kuipata tukamfuata jamaa akakataa,kilichofuata Ni kwenda Baraza la ardhi la wilaya kufungua kesi ya kumfukuza,jamaa katika utetezi wake kaleta hati ya kufoji yenye jina lake,Hadi sasa kesi bado inaendelea,hebu niambie kesi ikiisha utakubali kufanya maelewano na mtu Kama huyu?
Kiutu baba hakuwa na shida,alikuwa tayari kumfikiria huyu baba mdogo japo kiasi kidogo Cha fedha ili kufidia gharama zake .
Walimwengu wabaya Sana mkuu.
Na hapo keshi ikiisha, hakuna mtu atamuone huruma mwenzie...najua hapo kuna uhasama balaa, utakuta hata hamsalimiani tena.Mkuu Acha kurahisisha,Hawa watu wanakela,I have the same story,Kuna baba mdogo alikabidhiwa nyumba ya baba ambayo Ina ofa ya hati miliki, kwa kumdharau baba eti Ni mlevi akakatalia pale home maana baba alikuwa mtumishi sehemu tofauti na pale ilipo nyumba na jamaa ameishi Sana pale Hadi akawa Kama mmiliki,sasa ilipofika muda wa kumuondoa ikawa ngumu,jamaa amejenga na kuboresha Sana pale nyumbani.
Tumemfuata Mara nyingi Sana kuwa ahame pale hataki anatuambia twende mahakamani,kitu alichojichanga mzee alimkabidhi ofa ya kiwanja,sasa ikawa ngumu kupata pa kuanza,tukichokifanya tulienda ofisi za ardhi kufuatilia tukakuta bado kiwanja kinasoma jina la mzee hivyo ikabidi tuingie gharama ya kupata hati miliki maana kiwanja kilikuwa na hati ya ofa tu.Baada ya kuipata tukamfuata jamaa akakataa,kilichofuata Ni kwenda Baraza la ardhi la wilaya kufungua kesi ya kumfukuza,jamaa katika utetezi wake kaleta hati ya kufoji yenye jina lake,Hadi sasa kesi bado inaendelea,hebu niambie kesi ikiisha utakubali kufanya maelewano na mtu Kama huyu?
Kiutu baba hakuwa na shida,alikuwa tayari kumfikiria huyu baba mdogo japo kiasi kidogo Cha fedha ili kufidia gharama zake .
Walimwengu wabaya Sana mkuu.
Kabisaa mkuu uhai ni muhimu sana. Labda tu ni ile kutotaka kua chini, kwamba nikimkubali nitaonekana mi zuzu na tambo zisizo na msingi bila kusahau chawa wanaowapa bichwa na kujiona wao ni bora zaidi.Na hapo ndo huwa mambo yanaanzia...Unaweza kuta walileteana ubabe, Makasirikiano, madharau, mavutano...Wakapelekana Mahakamani, huko ikawa Chui na paka...Mmoja akashinda, alivyoshinda na yeye akawa mbogo, hakutaka kusikia kitu, maana anaweza kuwa alikumbuka matambo ya aliyejenga...basi Tafraji....akaona asimsamee kwa kumuuzia sasa, kama mbwai na iwe mbwai.
Asee, watu tusipende ubabe hata stage ya kwanza...tujifunze kutuliza hasira.
Sasa mkuu eneo ni langu,nikubali kuuza kwasababu zake??see.
mimi silaumu jamaa kutafuta haki yake halali mahakamani,kama ambavyo nyinyi mmefanya.
fikiria kwa mazingira yenu hayo hayo,baba mdogo angefika bei kwamba amaepaelewa pale kaamua kuwalipa baada ya kushindwa mahakamani.
ni haki yenu kukataa,lakini kuchukua hela ni uamuzi salama zaidi.
mwalimu anapewa ofa kakomaa,anataka eneo lake hataki hela,kapigwa risasi.
nini faida yake sasa!!!!
Watu wenye fedha wajeuri sanaSasa naye kwann ajenge sehemu hisiyo yake