Tafadhali msaidie "Mzee Kipara"

X-PASTER

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
11,610
1,809
Tafadhali msaidie " Mzee Kipara"


1256240.jpg

Unamfahamu muigizaji mkongwe anayekwenda kwa jina la ‘Mzee Kipara?" Kama jibu ni ndiyo basi soma habari hii.


Mzee Kipara ambaye jina lake halisi ni Saidi Fundi (pichani) hivi sasa anasumbuliwa na miguu kukosa nguvu, tatizo ambalo endapo atapelekwa hospitali pengine linaweza kupata nafuu kama si kupona kabisa.

Kampuni ya Global Publishers inayochapisha Magazeti ya Uwazi, Risasi, Amani, Ijumaa, Ijumaa Wikienda na Championi imempa simu ya mkononi msanii huyo mkongwe, ambayo itamsaidia katika mawasiliano na wasamaria wema ambao tunawaomba mumchangie kwa njia yoyote hasa ya M-Pesa.

Simu hiyo ilikabidhiwa kwa mzee huyo wiki iliyopita na mmoja wa wahariri wa magazeti yetu, Mohammed Kuyunga, Kigogo Mbuyuni jijini Dar anakoishi.

Kuyunga alisema kuwa kampuni imeguswa na hali aliyonayo Mzee Kipara hivyo kupitia simu hiyo inaamini watu wengi walioguswa na maradhi yake wataweza kumsaidia kwa hali na mali.

"Hii simu tumempa pamoja na laini yenye namba 0753 92 34 54 ambayo imeunganiswa na huduma ya M-Pesa ili kuwa rahisi kwa watu kuweza kumtumia fedha," alisema Kuyunga.




Imeandikwa na Mwandishi wa GPL,

Global Publishers & General Enterprises Ltd
P. O. Box 7534 Dar es salaam, Tanzania. East Africa
Tel: +255 22 2773356/57, +255 22 784 888982
VISIT US:
www.globalpublisherstz.com

 
Du!, huyu ni wa tangu enzi za RTD na kina Mzee Jongo, Rajabu Hatia, kina viki na Avijawa etc. Hali ya mzee huyu ni uthibitisho wa hali halisi ya siku za jioni kwa wasanii wetu wa zamani.

Kwa maoni yangu, hayo ni magonjwa ya kiutu uzima ukishavuka 75, matibabu ni relief tuu, hivyo tumsaidieni jamani ili angalau apate hiyo relief!.
 
pole zake huyu mzee..

pamoja na kuwa matatizo humfika yeyote but kama tukipata habari kamili za watu
labda itasaidia kujua makosa kama yapo ya kuyakwepa kwa wengine

1,je hana watoto?
2,wako wapi?
3mke?
watoto kama wapo aliwasomesha?
4.huyu mzee yupo dar toka enzi za viwanja vinagawiwa bure au kuuzwa kwa bei poa..
je alijenga?if nnot why?

aliacha mke?why?
aliuza nyumba?why?

habari kamili ndo ingekuwa ya maana kwa wengine

tunaona marekani mtu kama mike tyson akitangazwa kafilisika
unapewa na habari kamili alivyochezea utajiri wa zaidi ya bilioni 300
unaelewa....nimewahi sikia huyu ,mzee alifanya kazi rtd au trc hivi
wapo wenzie wako safi tu na walifanya kazi huko huko...so why him?
 
Sasa mkuu, ukiyajuwa yote hayo ndio utamsaidia au utasema kuwa haliyataka mwenyewe?
 
pole zake huyu mzee..<br />
<br />
pamoja na kuwa matatizo humfika yeyote but kama tukipata habari kamili za watu<br />
labda itasaidia kujua makosa kama yapo ya kuyakwepa kwa wengine<br />
<br />
1,je hana watoto?<br />
2,wako wapi?<br />
3mke?<br />
watoto kama wapo aliwasomesha?<br />
4.huyu mzee yupo dar toka enzi za viwanja vinagawiwa bure au kuuzwa kwa bei poa..<br />
je alijenga?if nnot why?<br />
<br />
aliacha mke?why?<br />
aliuza nyumba?why?<br />
<br />
habari kamili ndo ingekuwa ya maana kwa wengine<br />
<br />
tunaona marekani mtu kama mike tyson akitangazwa kafilisika<br />
unapewa na habari kamili alivyochezea utajiri wa zaidi ya bilioni 300<br />
unaelewa....nimewahi sikia huyu ,mzee alifanya kazi rtd au trc hivi<br />
wapo wenzie wako safi tu na walifanya kazi huko huko...so why him?
<br />
<br />
You have a point tho!
 
pole zake huyu mzee..

pamoja na kuwa matatizo humfika yeyote but kama tukipata habari kamili za watu
labda itasaidia kujua makosa kama yapo ya kuyakwepa kwa wengine

1,je hana watoto?
2,wako wapi?
3mke?
watoto kama wapo aliwasomesha?
4.huyu mzee yupo dar toka enzi za viwanja vinagawiwa bure au kuuzwa kwa bei poa..
je alijenga?if nnot why?

aliacha mke?why?
aliuza nyumba?why?

habari kamili ndo ingekuwa ya maana kwa wengine

tunaona marekani mtu kama mike tyson akitangazwa kafilisika
unapewa na habari kamili alivyochezea utajiri wa zaidi ya bilioni 300
unaelewa....nimewahi sikia huyu ,mzee alifanya kazi rtd au trc hivi
wapo wenzie wako safi tu na walifanya kazi huko huko...so why him?
Na mimi namalizia kwa kuuliza ina maana kundi la kaole limeshindwa kumpeleka hospital? simshauri ndugu yangu yoyote kujihusisha na huu upumbavu unaoitwa sanaa hapa Bongo, hii ni aibu yaani mpaka simu ya mkononi apewe na Global Pubrishers, oohh! my foot. sichangi hata mimi nina majukumu.
 
pole zake huyu mzee..

pamoja na kuwa matatizo humfika yeyote but kama tukipata habari kamili za watu
labda itasaidia kujua makosa kama yapo ya kuyakwepa kwa wengine

1,je hana watoto?
2,wako wapi?
3mke?
watoto kama wapo aliwasomesha?
4.huyu mzee yupo dar toka enzi za viwanja vinagawiwa bure au kuuzwa kwa bei poa..
je alijenga?if nnot why?

aliacha mke?why?
aliuza nyumba?why?

habari kamili ndo ingekuwa ya maana kwa wengine

tunaona marekani mtu kama mike tyson akitangazwa kafilisika
unapewa na habari kamili alivyochezea utajiri wa zaidi ya bilioni 300
unaelewa....nimewahi sikia huyu ,mzee alifanya kazi rtd au trc hivi
wapo wenzie wako safi tu na walifanya kazi huko huko...so why him?

Well said bro.
 
Hizo ni hazina kubwa kwa kukuza sanaa Tanzania.

Pamoja na kumpa pole nafikiri JMT ina takiwa kutoa msaada mkubwa kwa nguli huyu wa sanaa.
 
Tafadhali msaidie " Mzee Kipara"


1256240.jpg


Unamfahamu muigizaji mkongwe anayekwenda kwa jina la &#8216;Mzee Kipara?" Kama jibu ni ndiyo basi soma habari hii.


Mzee Kipara ambaye jina lake halisi ni Saidi Fundi (pichani) hivi sasa anasumbuliwa na miguu kukosa nguvu, tatizo ambalo endapo atapelekwa hospitali pengine linaweza kupata nafuu kama si kupona kabisa.

Kampuni ya Global Publishers inayochapisha Magazeti ya Uwazi, Risasi, Amani, Ijumaa, Ijumaa Wikienda na Championi imempa simu ya mkononi msanii huyo mkongwe, ambayo itamsaidia katika mawasiliano na wasamaria wema ambao tunawaomba mumchangie kwa njia yoyote hasa ya M-Pesa.

Simu hiyo ilikabidhiwa kwa mzee huyo wiki iliyopita na mmoja wa wahariri wa magazeti yetu, Mohammed Kuyunga, Kigogo Mbuyuni jijini Dar anakoishi.

Kuyunga alisema kuwa kampuni imeguswa na hali aliyonayo Mzee Kipara hivyo kupitia simu hiyo inaamini watu wengi walioguswa na maradhi yake wataweza kumsaidia kwa hali na mali.

"Hii simu tumempa pamoja na laini yenye namba 0753 92 34 54 ambayo imeunganiswa na huduma ya M-Pesa ili kuwa rahisi kwa watu kuweza kumtumia fedha," alisema Kuyunga.




Imeandikwa na Mwandishi wa GPL,

Global Publishers & General Enterprises Ltd
P. O. Box 7534 Dar es salaam, Tanzania. East Africa
Tel: +255 22 2773356/57, +255 22 784 888982
VISIT US:
www.globalpublisherstz.com

hiyo simu ina gharama gani? hizo hela walizonunulia hiyo simu si ndio wangempa akajitibu?
 
Na mimi namalizia kwa kuuliza ina maana kundi la kaole limeshindwa kumpeleka hospital? simshauri ndugu yangu yoyote kujihusisha na huu upumbavu unaoitwa sanaa hapa Bongo, hii ni aibu yaani mpaka simu ya mkononi apewe na Global Pubrishers, oohh! my foot. sichangi hata mimi nina majukumu.
....Naona mzee hata wembe wa kusafisha kidevu amekosa masikini...Dah! mbaya sana...
 
Mhh..........kitanda chake ni cha ghorofa........mti mweupe.....labda kama kahamia chumba cha watoto kwa urahisi watu kumuona kuliko angekaa chumbani. Maswali ya Boss hapo juu ni muhimu sana kwa kizazi hiki.

Hajazeeka (kuchoka kivile) nadhani akipata matibabu sahihi anaweza kupona.....naomba tumsaidie ngoja niende hapa Biafra nitume hata msimbazi
 
pole zake huyu mzee..

pamoja na kuwa matatizo humfika yeyote but kama tukipata habari kamili za watu
labda itasaidia kujua makosa kama yapo ya kuyakwepa kwa wengine

1,je hana watoto?
2,wako wapi?
3mke?
watoto kama wapo aliwasomesha?
4.huyu mzee yupo dar toka enzi za viwanja vinagawiwa bure au kuuzwa kwa bei poa..
je alijenga?if nnot why?

aliacha mke?why?
aliuza nyumba?why?

habari kamili ndo ingekuwa ya maana kwa wengine

tunaona marekani mtu kama mike tyson akitangazwa kafilisika
unapewa na habari kamili alivyochezea utajiri wa zaidi ya bilioni 300
unaelewa....nimewahi sikia huyu ,mzee alifanya kazi rtd au trc hivi
wapo wenzie wako safi tu na walifanya kazi huko huko...so why him?
inawezekana alikuwa fit kiuchumi lakini ktika hali ya kujiuuguza ndio akaishiwa kila kitu. ukiona mtu anafikia hali ya kuomba msaada ujue hali ni baya, haina maana tukiendelea kujadili alivyokuwa zamani alivyotumia keki aliyokuwa nayo. kwa hali iliyomfika sasa, ni muhimu kumsaidia. kumbukeni msaada ni moyo usambe si utajiri.!!!!
 
global publishers wameponza huruma ya watz kumsaidia mzee kipara, wameitafsiri habari kiudaku zaidi. namkumbuka akiwa na p&p co.ltd nijamsaka kwa namba mlotoa, hata hivo kutoa ni moyo wapendwa!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom