halikela82
Senior Member
- May 14, 2013
- 187
- 18
Mapenzi haya balaa tupu. Kuna mdada kajaa jirani na nyumbani kwangu nilivyomwana x ya1 kiukweli nlimwangalia kama x3 kwa haraka nikagundua kitu huyu dada ni mzuri wa sura hata na umbo lake pia. Sasa baada ya kupeleleza nakuona mwenyewe kumbe ameachika harafu ana watoto wa3 nikapiga moyo konde kwa kujisemea mwenyewe potezea.haaa! Sasa kila nikimwona natamani kumwambia kitu nimefikia hatua mbaya mwenzenu jamani kiasi kwamba hata nikamwona anaongea na sim nataman kujua anaongea nanan wakati cjamwambia chochote nimekufa nimeoza sijasema naye juzi tumepanda wote gari kwenda kazini bahati nzuri tukakaa kiti k1 mungu wangu cjui niseme kitu gan wana jf mnielewe kifupi ni hayo tu msaada ewnu na mjue KAACHIKA