MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Kila kukicha tu 'Maajabu' mengi yanagundulika nchini Tanzania na huenda nchi yetu ikawa imebarikiwa Kimaajabu hadi Raia wake ni wa ajabu.
Tanzania ndiyo nchi pekee duniani ambayo Makampuni ya Simu yanaweza Kupandisha bei za 'Vifurushi' haraka, ila katika Kuvishusha wanachelewa.
TCRA hongereni pia kwa Kuyaogopa (Kuufyata) mbele ya Makampuni ya Simu nchini Tanzania na hasa hasa hawa Wababe wenu Vodacom.
Tanzania ndiyo nchi pekee duniani ambayo Makampuni ya Simu yanaweza Kupandisha bei za 'Vifurushi' haraka, ila katika Kuvishusha wanachelewa.
TCRA hongereni pia kwa Kuyaogopa (Kuufyata) mbele ya Makampuni ya Simu nchini Tanzania na hasa hasa hawa Wababe wenu Vodacom.