Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,125
Katika hali ya kustaajabisha, maiti za watoto wanaokadiriwa kuwa na umri wa siku moja au zaidi, zinazofikia idadi ya 11, zimefukuliwa katika shimo moja, jirani na maeneo ya hospitali ya Mwananyamala mcha wa leo!!. Tukio hilo limevuta hisia za watu wengi eneo hilo na kustaajabisha watu wengi.
inasikitisha sana na kutia majonzi makuu........................
Last edited by a moderator: