GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,864
Ama kweli Binadamu tunapanga lakini na Mwenyezi Mungu nae pia anapanga lake / yake vile vile.
Kudadadeki Taarifa ikufikie popote pale ulipo kuwa Usiku huu kwa Aibu waliyoipata kwa Kufungwa na Ihefu FC huku kwa Kujiamini kabisa kuwa Unbeaten Record yao itaendelea wanapanga Kuchoma Moto Jezi zao Maalum ambazo zimeenda na Kenta ya Mdau wa Yanga SC na mwana CCM.
Kilichoandaliwa leo kilikuwa ni Yanga SC ishinde / ikishinda basi pale pale Uwanjani Highland Estate Mkoani Mbarali Jezi hizo Maalum zitolewe katika hilo Gari Kenta ili baadhi zitolewe kwa Mashabiki wa VIP na zingine GSM waanze Kuziuza na Kupiga Pesa kama Kawaida yao.
Sababu Kuu ya kutaka Kuchoma Moto Jezi hizo ni kwamba Lengo halijafanikiwa, Hasara imepatikana Kuzitengeneza Kwani ni Maalum lakini ni Kuogopa Kuchekwa na Kuonekana Washamba na Wapumbavu na Watani zao Wakubwa Simba SC.
Yanga SC mtajitahidi kadri muwezavyo Kuficha Siri zenu ila kwa Mtandao mkubwa GENTAMYCINE nilionao tena katika Uongozi wenu, Makomandoo wakiongozwa na Mratibu wa Timu Mohammed Binda, Benchi lenu la Ufundi na kwa Wachezaji Waandamizi kamwe hamtoweza Kunificha lolote na nitapata tu Taarifa zetu Nyeti kama hii ya kutaka Kuchoma hizo Jezi zenu Maalum za Kutanbia Unbeaten Record yenu ya 50 kama ingefikia leo ambayo Ihefu FC wameivunja.
Kudadadeki Taarifa ikufikie popote pale ulipo kuwa Usiku huu kwa Aibu waliyoipata kwa Kufungwa na Ihefu FC huku kwa Kujiamini kabisa kuwa Unbeaten Record yao itaendelea wanapanga Kuchoma Moto Jezi zao Maalum ambazo zimeenda na Kenta ya Mdau wa Yanga SC na mwana CCM.
Kilichoandaliwa leo kilikuwa ni Yanga SC ishinde / ikishinda basi pale pale Uwanjani Highland Estate Mkoani Mbarali Jezi hizo Maalum zitolewe katika hilo Gari Kenta ili baadhi zitolewe kwa Mashabiki wa VIP na zingine GSM waanze Kuziuza na Kupiga Pesa kama Kawaida yao.
Sababu Kuu ya kutaka Kuchoma Moto Jezi hizo ni kwamba Lengo halijafanikiwa, Hasara imepatikana Kuzitengeneza Kwani ni Maalum lakini ni Kuogopa Kuchekwa na Kuonekana Washamba na Wapumbavu na Watani zao Wakubwa Simba SC.
Yanga SC mtajitahidi kadri muwezavyo Kuficha Siri zenu ila kwa Mtandao mkubwa GENTAMYCINE nilionao tena katika Uongozi wenu, Makomandoo wakiongozwa na Mratibu wa Timu Mohammed Binda, Benchi lenu la Ufundi na kwa Wachezaji Waandamizi kamwe hamtoweza Kunificha lolote na nitapata tu Taarifa zetu Nyeti kama hii ya kutaka Kuchoma hizo Jezi zenu Maalum za Kutanbia Unbeaten Record yenu ya 50 kama ingefikia leo ambayo Ihefu FC wameivunja.